Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Ila huyo DMF uliyemuweka ni uchochoro mkuu we umeona alivyokuwa anaachwa kirahisi, kama huna B2B bora umtumie anchorman.Kapiga kazi sana leo afu Neuer ndo anakufaa... Maana ana footwork atanisaida kuosha vizuri
Afu hiyo message ya kuwa haupo mood hata sikuiona nimekuja kuiona muda game zimeishaNilikuwa najisemea huyu nimemwambia mood imekata yeye amefanya kuwa faida kwake, mechi ya kwanza ilivyoisha nikasema huyu hatoki hapa ataongea sana ngoja nimalizane nae kirafiki tu, ila umenichosha leo π.
Natatafuta anchorman kaka...Ila huyo DMF uliyemuweka ni uchochoro mkuu we umeona alivyokuwa anaachwa kirahisi.
Box to Box ninaye Rice kaka sema namuweka pembe kama ulimuonaIla huyo DMF uliyemuweka ni uchochoro mkuu we umeona alivyokuwa anaachwa kirahisi, kama huna B2B bora umtumie anchorman.
Nilikuwa nimetoka kucheza dvn hapo nilikutana na jamaa anapiga mipira mirefu tu mpaka dk ya 91 ngoma ilikuwa bado 1-1, dk ya 92 ndo napata goli la 2 na mpira unaisha.Afu hiyo message ya kuwa haupo mood hata sikuiona nimekuja kuiona muda game zimeisha
Kasaidiwa na mabeki huyo hapo kati palikuwa tobo.Natatafuta anchorman kaka...
Alafu Dm alikuwepo Pep Guardiola mbona nimeona kapiga kazi sana
Baki hukuMimi nacheza EA FC 24 mobile (zamani fifa mobile), kwa sasa nipo division ya Legendary 3,, ila watu wa mule sio poa wanagusa mnoo. Natamani kuhamia efootball kwa sasa
Mtumie yeye sasa.Box to Box ninaye Rice kaka sema namuweka pembe kama ulimuona
Kumbe umeshinda kabisa πNilikuwa nimetoka kucheza dvn hapo nilikutana na jamaa anapiga mipira mirefu tu mpaka dk ya 91 ngoma ilikuwa bado 1-1, dk ya 92 ndo napata goli la 2 na mpira unaisha.
Nilimpa deepline π€£π€£π€£Kasaidiwa na mabeki huyo hapo kati palikuwa tobo.
Nilimpa deepline maana nilijua kupishana na wewe siwezi...Kasaidiwa na mabeki huyo hapo kati palikuwa tobo.
Dakika za jioni π.Kumbe umeshinda kabisa π
Asingeweza mzuia Kane huyo π.Nilimpa deepline maana nilijua kupishana na wewe siwezi...
Me huwa nashangalia kabisa live napiga keleleDakika za jioni π.
πππNililiona hilo nikasema hapa nikijikuta mwamba napoteza game zoteAsingeweza mzuia Kane huyo π.
Muhimu hiyo mkuu hasa ukikutana na mpinzani mgumu, nakumbuka nilikuwa nacheza PvP tumeenda mpaka extra halafu mie penalty bado sijakuwa mjuzi nazo nikawa nahofia, dakika za jioni kabisa naweka chuma wavuni nilijikuta napiga kelele mpaka waliyokuwa karibu wakashangaa na wameshanizoea sasahivi na muda mwingine wanauliza (leo huna mechi?) π.Me huwa nashangalia kabisa live napiga kelele
Penati zisipendi...ππMuhimu hiyo mkuu hasa ukikutana na mpinzani mgumu, nakumbuka nilikuwa nacheza PvP tumeenda mpaka extra halafu mie penalty bado sijakuwa mjuzi nazo nikawa nahofia, dakika za jioni kabisa naweka chuma wavuni nilijikuta napiga kelele mpaka waliyokuwa karibu wakashangaa na wameshanizoea sasahivi π.
Jau hizo, tabu inaanzia kwenye kumchezesha kipa π.Penati zisipendi...ππ
Ucheze na akili ya mtu kaka ni kazi...Jau hizo, tabu inaanzia kwenye kumchezesha kipa π.
Hatari tupu.Ucheze na akili ya mtu kaka ni kazi...