Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,152
- 10,393
Dah 😂.Mr Devil mkuu hufai😃
Game zote mbili hakuna nilichokicheza umenificha kila sehemu🙌🙌🙌kwa hii form yangu leo nikikutana na Razorblade ataniwekea historia acha nitulie tuu
Mkuu next time i appreciate upo another level...
View attachment 3308888
kesho tafanya comeback nme sikitika kutoka na 0 shoot on targetKazi nzuri mkuu.
Nakuja 😂.Razorblade unanicheka twende room 🤣🤣🤣
Si kuna kuforfeit🤣🤣Nakuja 😂.
Pamoja mkuu.kesho tafanya comeback nme sikitika kutoka na 0 shoot on target
😅😅hii ajali tu ,kuna waindi uki kutana nao utazani unacheza na robot.Mr Devil mkuu hufai😃
Game zote mbili hakuna nilichokicheza umenificha kila sehemu🙌🙌🙌kwa hii form yangu leo nikikutana na Razorblade ataniwekea historia acha nitulie tuu
Mkuu next time i appreciate upo another level...
View attachment 3308888
Hamna mood imekata now tutacheza fair 😂.Si kuna kuforfeit🤣🤣
Amna kuna game unazidiwa mpaka unasema naam leo nimekamatika... Kesho tuguse tena mkuu mida kama leo nione kama nitawez kuchomoka😅😅hii ajali tu ,kuna waindi uki kutana nao utazani unacheza na robot.
Ulinikwaza sana yani hunipi nafasi ya kucheza halafu zile back pass zako zilikuwa zinanitia hasira 😂.Razorblade game ya pili nilijua mtego 🤣🤣🤣 kuna roho iliniambia kijana Kimbia ya pili usicheze🤣🤣
Una long balls sijui umezitoa wap😃😃yan kazi yangu ilikuwa kuzuia tuuHamna mood imekata now tutacheza fair 😂.
Pale me naokoaje🤣kila muda long ball ikanibid nitumie trick za Dream league ni kulud tu kwa kipa na kuoshaUlinikwaza sana yani hunipi nafasi ya kucheza halafu zile back pass zako zilikuwa zinanitia hasira 😂.
Nachopenda nikicheza na wewe hali ya wachezaji wangu inakuwa unyama sana, ila leo umeniamulia hata hujanipa nafasi nicheze mpira ndiyomaana ikabidi niwe nacheza kama wewe 😂.Razorblade game ya pili nilijua mtego 🤣🤣🤣 kuna roho iliniambia kijana Kimbia ya pili usicheze🤣🤣
Kama ingekuwa kuna tuzo za mchezaji bora basi mechi zote 2 kipa wako alikuwa anachukua tuzo 😂.Una long balls sijui umezitoa wap😃😃yan kazi yangu ilikuwa kuzuia tuu
Sasa umeshindwaje kufanya hivyo kwa Mr Devil 😂.Pale me naokoaje🤣kila muda long ball ikanibid nitumie trick za Dream league ni kulud tu kwa kipa na kuosha
Hizo long balls hizo😃😃😃
Kuna makosa niliyafanya game za mr devil nimeyasawazisha kwako😃Nachopenda nikicheza na wewe hali ya wachezaji wangu inakuwa unyama sana, ila leo umeniamulia hata hujanipa nafasi nicheze mpira ndiyomaana ikabidi niwe nacheza kama wewe 😂.
View attachment 3308921
View attachment 3308922
Mechi nzuri, umejua kunichosha 😂.
Nilikuwa najisemea huyu nimemwambia mood imekata yeye amefanya kuwa faida kwake, mechi ya kwanza ilivyoisha nikasema huyu hatoki hapa ataongea sana ngoja nimalizane nae kirafiki tu, ila umenichosha leo 😂.Pale me naokoaje🤣kila muda long ball ikanibid nitumie trick za Dream league ni kulud tu kwa kipa na kuosha
Hizo long balls hizo😃😃😃
Halafu unajua nimetumia long balls baada ya kuona hunipi nafasi nicheze.Kuna makosa niliyafanya game za mr devil nimeyasawazisha kwako😃
Mkuu mpira wako nitakuwa naingia na defence moja kwa moja🙌🙌🙌hizo long balls leo zimejua kunifanya kipa wangu acheze mipira mingi kuliko striker
Kapiga kazi sana leo afu Neuer ndo anakufaa... Maana ana footwork atanisaida kuosha vizuriKama ingekuwa kuna tuzo za mchezaji bora basi mechi zote 2 kipa wako alikuwa anachukua tuzo 😂.