Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,153
- 10,394
Dah! Tunaomiliki free cards tunashida sana πππUnamfamu leao weweππ
Ukitaka kufika division 1 haraka na wewe tumia 4222View attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.
Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara πππ
Kumbe unae mbona humpangi kikosiniπKonami hawajawahi kuwa wachoyo kwenye wachezaji wa hovyo π₯΄
View attachment 3439684
Huko dvn sina haraka napo mkuu, nataka nihakikishe nasawazisha makosa niliyonayo kwenye defence na attack.Ukitaka kufika division 1 haraka na wewe tumia 4222
Mkuu ni mimi mwenyewe tu, tangu nilivyopata badge ya dvn 2 sikucheza tena eFootball league.Unpopular opinion: ukute Drogba ndiye anamchelewesha Razorblade kufika division 1π
Umesha master the art of using Drogba πMkuu ni mimi mwenyewe tu, tangu nilivyopata badge ya dvn 2 sikucheza tena eFootball league.
Nikikuwekea stats za Drogba wangu hapa huwezi amini kama ni mzito π
Wa nini sasa.. bora akae Harry Kane kuna card ninayo ya Fox-to-Box π₯πKumbe unae mbona humpangi kikosiniπ
Niuzie hiyoπ€£π€£π€£Wa nini sasa.. bora akae Harry Kane kuna card ninayo ya Fox-to-Box π₯π
Leao ni motoπ€£π€£Dah! Tunaomiliki free cards tunashida sana πππ
Kumbe ulimpata VVD wa 101 kakaπ€£π€£π€£mbona hukusemaView attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.
Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara πππ
Sasa kama mtu analalamika wachezaji wako wapo kila sehemu πππme namsaidiaje sasaView attachment 3439666
Nimeujaribu huu mfumo mechi kadhaa nimeona kuna utofauti hasa kwenye kuzingatia stamina za wachezaji, tofauti na naotumia sasa wachezaji wanachoka mapema na vile sipendi kwenda kufanya subs katikati ya mechi basi imekuwa changamoto.
Selikavu ndiyo sababu maana alikuwa akimuelekeza Warld kukabiliana na formation yangu bila papara πππ
Nimeikumbuka formation yanguπππ LBC ilinifanya nikimbieπππwakileta kocha wa Qc nalud kwenye 4222Ukitaka kufika division 1 haraka na wewe tumia 4222
πππMmoja anawaza akawa honeymoon wamekupa replacement yake kabisaπ€£π€£Konami hawajawahi kuwa wachoyo kwenye wachezaji wa hovyo π₯΄
View attachment 3439684
Huyo jini aisee unaweza usimuone dakika 89 ukaja kumuona dakika ya 90 anatanua mikono yake huku kipa wa timu pinzani anaokota chupa ya maji na wachezaji wengine wamekaa kwenye mwamba huku wengine wameshika vichwa πππUmesha master the art of using Drogba π
πππJitu lina GB 2 za update peke ake unategemea nn lazima uchelewe kufika division oneUnpopular opinion: ukute Drogba ndiye anamchelewesha Razorblade kufika division 1π
Saiv nitakuwa nakaba mpka akimbieHuyo jini aisee unaweza usimuone dakika 89 ukaja kumuona dakika ya 90 anatanua mikono yake huku kipa wa timu pinzani anaokota chupa ya maji na wachezaji wengine wamekaa kwenye mwamba huku wengine wameshika vichwa πππ
Khalas πLeao ni motoπ€£π€£