eFootball Special Thread

hahahaha nachukia penalty hahahaha.....well done mkuu....unacheza vizuri sana Kuna mistakes nilizifanya game ya pili nikaweka tu twende sawa nkarudi na goli 2... Umeiva sana mkuu natafuta suluhisho la huyo bwana batistuta.. zile long balls hapana
Mfumo wangu uli kataa game ya kwanza , game ya pili nili badili formation ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…naona uli muwekea tight marking bati goal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ