Imeisha hiyoπ€£π€£Niliscreenshots chap sjui wenyewe mtaamuaje
Hizo counter target hapana πππKanisumbua siku ile kila akipia unadondoka nyuma ya beki zangu na hajawasha blue.π
Kaka una balaaπΉ Razorblade aliwasha kindege ai kuharibika iyoMkuu mechi ya pili naona haijaisha sababu ya connection kufail dakika za mwishon
UwakikaπΉHamna ni hii ukipiga juu wanabaki peke yao na bekiπ.
Jamaa anapiga pasi kama ugomvi, ila hana huruma kabisa πWap Mandonga mtu kaziπ€£π€£π€£
Razorblade πMkuu mechi ya pili naona haijaisha sababu ya connection kufail dakika za mwishon
πΉπΉπΉAkitoka Razorblade Mzaramo unafata wewe kwenye kuongea kakaπ€£π€£π€£
ππJamaa anapiga pasi kama ugomvi, ila hana huruma kabisa π
Sitaki kujitetea leo nitaonekana mpiga domo, hali yangu leo umeiona.
Halafu umeniletea dharau wewe kwanini ulitoka room π
We umekunywa supu ya ngadu nini? πKaka una balaaπΉ Razorblade aliwasha kindege ai kuharibika iyo
ππamna namna una kula mkono afu una ambiwa Good game dahHuu unafiki wa good game hauishii
Nilibana hadi mbupu ili nimalize mechi πππRazorblade umevamia mtumbwi wa vibwengo leoπ
Nilikuwa namuwai Alexander niliona kajaJamaa anapiga pasi kama ugomvi, ila hana huruma kabisa π
Sitaki kujitetea leo nitaonekana mpiga domo, hali yangu leo umeiona.
Halafu umeniletea dharau wewe kwanini ulitoka room π
ππ 5 ni kubwa kuliko 3 si unajua ilo lakini .We umekunywa supu ya ngadu nini? π
Niwashe kindege dakika za mwishoni muda wote nilikuwa wapi? πππ
Mkuu naona siku mbaya kazini ....mech ya kwanza alinipiga lakiniKaka una balaaπΉ Razorblade aliwasha kindege ai kuharibika iyo
Sasa si fair game wakuuππππamna namna una kula mkono afu una ambiwa Good game dah
We mchawi batigoal anakosa tu magoli sijui anacheza huku anasinzia.View attachment 3436298View attachment 3436299
πΉπΉ Warld puyol kiazi sana kajifunga
View attachment 3436300
Jamaa ana knowledge zote nachunguliaga account yake napita kimyaπNilibana hadi mbupu ili nimalize mechi πππ
Nauhakika huyu hakuwa noob, alikuwa anatuchora tu π