Hahaha mkuu Asante aiseh Kuna muda niliona kama upo na back 5 nikawa nashindwa napitaje kuja kuangalia upo na back 4 tu kama kawaida..
Nashukuru sana...licha ya kutaka kishililia bomba Torres amekuja kufanya kazi.
Torres mzingatie mkuu naona yupo vyema sana kwako....Asante nazidi jifunza mkuu.