eFootball Special Thread

Me na Kandambili1 tumetoka draw game zote

Kandambili1 hongera kaka umeiva🙌


Hii ya kwanza alitoka mapema net ilimzngua ya pili na mimi nikamfunga moja tuu kwa agg ni 1:1
View attachment 3432960View attachment 3432962
Hahaha mkuu Asante aiseh Kuna muda niliona kama upo na back 5 nikawa nashindwa napitaje kuja kuangalia upo na back 4 tu kama kawaida..

Nashukuru sana...licha ya kutaka kishililia bomba Torres amekuja kufanya kazi.

Torres mzingatie mkuu naona yupo vyema sana kwako....Asante nazidi jifunza mkuu.
 
Aah sawa sawaa master nitamzingatia😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…