Ivi unaweza mconsider Beckham na Musiala kwenye ukabaji๐๐๐Kwani kikosi unaona kina DMF wangapi nawe ๐
Au umemaanisha nini?
Mkuu hivi camavinga na Amrabat wote nitawapata kwenye standard card pale au?... I wish nipate mkabaji sanaUnakijuta Target Man sio
Aya kamchukue Camavinga pale anafika 100 kwenye Epoints
Mkuu achana na Standard card.. Camavinga wamemleta unatumia Epoints Kumnunua nitakuletea maelekezo ya kumpataMkuu hivi camavinga na Amrabat wote nitawapata kwenye standard card pale au?... I wish nipate mkabaji sana
Kuwpaata hawa lazima account yako uwe ume link na Konami Id kwanza....Mkuu hivi camavinga na Amrabat wote nitawapata kwenye standard card pale au?... I wish nipate mkabaji sana
Nimeishailink mkuu kitambo tu.Kuwpaata hawa lazima account yako uwe ume link na Konami Id kwanza....
Nasubiri hizo kaka....Mkuu achana na Standard card.. Camavinga wamemleta unatumia Epoints Kumnunua nitakuletea maelekezo ya kumpata
Mkuu sasa Musiala na Beckham wanahusika vipi hapo?Ivi unaweza mconsider Beckham na Musiala kwenye ukabaji๐๐๐
Ukiingia kwenye game nenda sehemu ya Shop ukifungua kuna sehemu utaona picha ya Camavinga utaingia hapo... Utaenda kwenye PlayersNimeishailink mkuu kitambo tu.
Pole mkuu usingezitumia hizo...Nasubiri hizo kaka....
Mkuu nimeenda kule nimemuona tayari sema point zangu nilibadilishana na 10 training point last time
Si ndo viungo vyako kaka๐๐๐Mkuu sasa Musiala na Beckham wanahusika vipi hapo?
Habari, unaweza nisaidia na hii changamoto., Nina account mbili za efootball kwenye simu yangu, moja imekubali kulink na Konami id ambayo ni ya japani ila hii nyingine inagoma kulink na Konami id.. nikilink inanileta kwenye hii accUkiingia kwenye game nenda sehemu ya Shop ukifungua kuna sehemu utaona picha ya Camavinga utaingia hapo... Utaenda kwenye Players
Utawakuta wapo wawili Camavinga na Conor Galleger Juu kabisa upande wa kushoto kuna idadi ya point zako ulizozikusanya mpaka sasa mchezaji mmoja hapo ni Epoints Elfu tano kwahiyo utapiga hesabu kama zinatosha wawili ama mmoja
Baada ya hapo utabonyeza kwenye hizo elfu tano zao simu yako itatoka adi kwenye Website ya Efootball itakuletea maelezo kama unataka kumchukua huyu chini kabisa kunq sehemu imeandikwa exchange utabonyeza hapo
Ni viungo wakabaji?Si ndo viungo vyako kaka๐๐๐
Tumia email 2 tofauti, huwezi link account zaidi ya 1 kwenye email 1.Habari, unaweza nisaidia na hii changamoto., Nina account mbili za efootball kwenye simu yangu, moja imekubali kulink na Konami id ambayo ni ya japani ila hii nyingine inagoma kulink na Konami id.. nikilink inanileta kwenye hii acc
Nimejifunza kitu kikubwa mkuu....sio mbaya lakini tunasogea taratibuPole mkuu usingezitumia hizo...
Training za wachezaji huwa tunatumia Gp points zile za blue ambazo wewe unazitumia kununua standard cards ndo maana nikakushauli uache kuzitumia huko maana hao standard utakuja kuwaacha wote ukipata card zao nzuri
Ila huyo yupo sana endelea kucheza Event utafikisha tuuNimejifunza kitu kikubwa mkuu....sio mbaya lakini tunasogea taratibu
Aah log out kwenye account ya kwanza ya Efootball kule kwenye website then lud kwenye account yako ya pili link usitumie email moja fungua email nyingineHabari, unaweza nisaidia na hii changamoto., Nina account mbili za efootball kwenye simu yangu, moja imekubali kulink na Konami id ambayo ni ya japani ila hii nyingine inagoma kulink na Konami id.. nikilink inanileta kwenye hii acc
Kwa nature yao sio wale wa kazi kazi kukaba๐๐ni viungo mnyumbulikoNi viungo wakabaji?
Ngoja nifanye hivyoAah log out kwenye account ya kwanza ya Efootball kule kwenye website then lud kwenye account yako ya pili link usitumie email moja fungua email nyingine