eFootball Special Thread

Nawapa tabu sana maana wakiangalia kikosi hakieleweki halafu boli linatembea πŸ˜‚

Sijakutana na wa level yangu bado hawa wengine nakuwa kama nafanya mazoezi tu πŸ˜‚
UnawaoneaπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ


Weka kikosi kwenye simu mpya basi weka ataa kwa mochi cloner tuchezeπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
UnawaoneaπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ


Weka kikosi kwenye simu mpya basi weka ataa kwa mochi cloner tuchezeπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Wakati mwingine nacheka tu maana wachezaji wenyewe wanakuwa slow halafu hawanifungi πŸ˜‚
 
Oya hii account kwa mara ya kwanza imenifanya nitumie back 5 na hii ni baada ya kufika dvn 5 na kuanza kukutana na wanaojiweza.


Nilivyofika dvn 5 mechi 2 za kwanza nimepigwa 2-1 na ingine nikapigwa 1-0, nikajaribu kucheza na back 5.

Mbuzi wa kafara akala 3-1, akakimbia πŸ˜‚


Sijapenda kwa yeye kukimbia dakika ya 87, angemalizia tu dakika zilizo baki


Na kosi lote hili


Na mwingine nae akajichanganya nikamuwekea back 5 kama kawaida, akakomaa dakika 90 na amenifikisha dvn 4.



NB: Baada ya kuweka back 5 limetumika haram football πŸ˜‚
 
Konami sijui wanatatizo gani na mimi 😭, kwenye account yangu nimepewa uozo halafu account ya jamaa nimepewa Jude πŸ˜‚


Na kocha nimenunua, huyu jamaa itabidi anipatie hata ya maji ya kandoro πŸ˜‚



Mwingine huyu ameikimbia back 5 πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…