eFootball Special Thread

Kuna simu nilikuwa nayo kuikagua nikakuta game hilo nikalifungua, mwenye simu nae ndo anaanza maana kikosi kilikuwa cha standard card toleo la mwisho 😂

Akirudishiwa simu yake atashangaa kukuta kikosi kimekua tofauti na alivyokiacha.
Kheeh 😃umekipanga upya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…