eFootball Special Thread

😅😅vipi jamaa Kakupiga sana ,
Huyu jamaa ndiye aliyenifundisha game... Mara ya kwanza kabisa alikuwa ananipa mara moja moja nacheza kabla sijaweka kwenye simu yangu


Anatumia smart assist alafu kaimaster ni kazi kumfunga leo nimebahatisha moja

Ana mpira kama wangu nikakumbuka Anti counter ya NEGAN aliyotumia kwangu nikatumia kwake ikatiki game ya mwisho nikamfunga tatu bila😃😃
 
kama ni master wako kwenye smart assist ishakua kipengele hiki😹sema nme tulia na formation moja saiv amna magoal ya kizembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…