Huyu jamaa ndiye aliyenifundisha game... Mara ya kwanza kabisa alikuwa ananipa mara moja moja nacheza kabla sijaweka kwenye simu yangu
Anatumia smart assist alafu kaimaster ni kazi kumfunga leo nimebahatisha moja
Ana mpira kama wangu nikakumbuka Anti counter ya
NEGAN aliyotumia kwangu nikatumia kwake ikatiki game ya mwisho nikamfunga tatu bila😃😃