Aah wap akukute form angeongea mengine hapa๐๐๐Afu hapo akili inaniambia ingia hivo hivo utashinda ila angeniua ๐
Na anakaba๐๐Ukweli gani mtu ana card ya Nesta ya zamani mno legend kabisa yule ๐
Dakika sita zimenifany nikimbie kucheza division mzeeMechi zetu za dakika 6 hizo. View attachment 3361624View attachment 3361623
mzee wa Italian Prince Fransisco Totti๐๐leta username mkuu tukuadd
Afu kuna jamaa alisema Totti wako hana kitu chochote ni kama nunez tuu๐๐yupo humu humu
Huyo dogo simchukii mkuu ila wanampamba sana kama ilivyokuwa kwa Ansu Fati halafu nae anakamdomo flani hivi kadharau ๐๐๐๐Unavyomchukia Lamine mzee ๐๐ndo kwanza ana miaka 17 mpk afike 30 sijui utakuwa wap๐คฃ๐คฃ
๐ uukiwa unnaongoza 1-0 na unashambuliwa mno mbona hizo dakika ni nyingiDakika sita zimenifany nikimbie kucheza division mzee
Mpira kdg tu filimbi umeisha
Hivo hivo hahahaUkakutane na full blue๐๐
Hata mimi namuona hivo hivo, mpaka nimuone uwanjani ๐Afu kuna jamaa alisema Totti wako hana kitu chochote ni kama nunez tuu๐๐yupo humu humu
Yu wapi?Afu kuna jamaa alisema Totti wako hana kitu chochote ni kama nunez tuu๐๐yupo humu humu
Cybertrustmzee wa Italian Prince Fransisco Totti๐๐leta username mkuu tukuadd
Ansu zilizidi asee๐๐Huyo dogo simchukii mkuu ila wanampamba sana kama ilivyokuwa kwa Ansu Fati halafu nae anakamdomo flani hivi kadharau ๐
Ronaldo alivyoulizwa kuhusu Yamal, kawajibu โMuacheni mtoto akueโ
Wasimjaze sana maana wanaweza muharibu kama Ansu.
Shida nikiwa division siku zote lazima nitanguliwe tuu๐ uukiwa unnaongoza 1-0 na unashambuliwa mno mbona hizo dakika ni nyingi
Ingilia Ugomvi wa Negan ๐คฃHata mimi namuona hivo hivo, mpaka nimuone uwanjani ๐
Pow utakutana nayo yangu MyunaniCybertrust