eFootball Special Thread

Hizo fedheha sio poa πŸ˜‚ unaanza na kufundishwa game hapo hapo 'kaza kaza game unajua mwanetu', 'jifunze kukaba', 'usipigepige mashuti tu', ' tunza coins uchukue kocha wa Quick' ...πŸ˜‚πŸ˜‚
Admin wa hilo group sasahivi analalamika anapigika hovyo na anasema hajawahi kukutana na hiyo hali hadi anataka kuacha kucheza game πŸ˜‚
 
Kuna wale ambao akituma code ukipita nayo akikufunga anarudi na screenshot halafu anaweka na ujumbe πŸ˜‚
Si ndo huyo jamaa aliyenifunga akanifata inbox kuniuliza kama nashindga game yoyote ile...

Sema yupo group nyingine jamaa day one kanifunga akapost watu wakamuuliza league akasema friendly wakamshangaaπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Si ndo huyo jamaa aliyenifunga akanifata inbox kuniuliza kama nashindga game yoyote ile...

Sema yupo group nyingine jamaa day one kanifunga akapost watu wakamuuliza league akasema friendly wakamshangaaπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Friend match hawazingatii sana ils ukipigika kwenye ligi sass ndo utajua hujui πŸ˜‚
 
Hawawezi vita waliobakia wote watu poa me na wewe ndo team vita


Iv unashabikia team gan epl kama sio Chelsea wewe basi ni Arsenal πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Ligi ya epl haipo damuni kwahiyo hata sina timu ila we jua timu ambayo siipendi kuliko zote epl ni Man U, mimi na wewe vita yetu ipo hispania tu πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…