Razorblade
JF-Expert Member
- Aug 30, 2019
- 5,533
- 11,305
Shikamoo ๐
Nitampokea tu hakuna neno ๐Unaweza ukapewa owen kama mimi mzee๐๐
Nimekuwa noob mkuu we jipigie tu ๐Huyu msimu huu nipo nae napiga kote kote๐๐๐ndani na nje ya uwanja mpaka aludi form atakuwa ameiva๐๐
Duh๐๐View attachment 3342428
Nina account mbili, kuna hii acc niliianzisha January ina upepo mno kwenye kupata wachezaji. View attachment 3342430
Hii nimekutana nayo mapema sana ila bahati mbaya NEGAN amefanya maamuzi mapema ๐KAUSHAURI KIDOGO๐.. JAPO NAJUA HAMNA UVUMILIVU NYIE ๐คฃ
View attachment 3342411
Marahaba shikamoo na wewe kaka๐๐๐Shikamoo ๐
Ukimpoke wewe wangu na namrelease๐คฃ๐คฃ๐คฃNitampokea tu hakuna neno ๐
Nipo na wewe mpaka ufute game ๐๐๐Nimekuwa noob mkuu we jipigie tu ๐
Marahaba sana ๐Marahaba shikamoo na wewe kaka๐๐๐
Hii ukiingia na roho ya kuuza niuzie๐๐๐View attachment 3342428
Nina account mbili, kuna hii acc niliianzisha January ina upepo mno kwenye kupata wachezaji. View attachment 3342430
Kwamba hutokuwa na kazi nae ๐Ukimpoke wewe wangu na namrelease๐คฃ๐คฃ๐คฃ
๐ naenda hadi na selection 6 naishia kupewa 55,64,74KAUSHAURI KIDOGO๐.. JAPO NAJUA HAMNA UVUMILIVU NYIE ๐คฃ
View attachment 3342411
Bora ziishe tu hata nisipopata siyo mbaya ๐Hahaha, sema na hizi nuksi unaweza kaa tu afu usiambulie kitu
Game halifutwi, account nitakuja mpatia kijana wangu ๐Nipo na wewe mpaka ufute game ๐๐๐
Hahaha huyo jamaa alikuja ile mwaka mpya, kuna zile spin ya bure nilipewa kuweka tu nashangaa mwamba huyo.. hapo kati mzuri sana naweza hata kucheza beki 3 hicho kikosi na mana hapo kati ni wa moto ๐๐ฅHii ukiingia na roho ya kuuza niuzie๐๐๐
Anchorman wangu Sergio wa 105 aje yoyote yule anakalishwa
Lakini ulivumilia mpaka zifike 21 ndo uende kuspin imekiwaje siku chache tu zikushinde ๐Too late๐
Game halitonoga nikicheza na wewe๐๐๐Kwamba hutokuwa na kazi nae ๐
Ni huzuni kwa kwel ongea na Guilberto vizuri๐ naenda hadi na selection 6 naishia kupewa 55,64,74