Ninamaanisha haswa nilichoongea.The only good thing ni kwamba humaanishi unachoongea kwakuwa kwa dhati ya moyo wako ukweli ni tofauti na hiki ulichoandika
Nimeandika uhalisia ambao hauna chembe ya mahusiano na Mbowe...
Mbowe ndo katangaza uzinduzi wa Ukuta na ndo katangaza kusitisha maandamano ya Ukuta...
Hali imezua sintofahamu na kambi zimetawanyika na nyuzi za hasira za washabiki wa Ukuta zimesikika na hata hapa JF hali si shwari.
Umejitahidi sana kurudisha ari ya ukuta kwa thread nyingi mfululizo lakini nakuachia upime mwenyewe kiwango cha hamasa cha hao wafuasi wachache waliobaki .
