Duh, na wewe naona hujachangia. Nikurushie dongo? Ha ha ha... Hivi kweli hakuna lolote mnalofaidika na uwepo wa JF? Seriously?
thanks dr, na kwako pia, ufurahie na familia yako na marafiki
Thanx and like wise Von Mo
[h=5]Ni ngumu sana kutaja kila mmoja wenu but, marafiki, ndugu na jamaa wote, ndani ya Jamii Forumna nje ya Jamii Forum, nashukuru sana, uwepo wenu umeniongezea mambo mengi katika maisha yangu. Napenda kuwakaribisha woteeeeeeeeee nyumbani kwaajili ya kula sikukuu.
Mwaka unapoanza, that will be a new chapter n l will have to start afresh. Forgive me for any mistake l made without noticng. Nawapenda wote.
MERRY CHRISTMAS N HAPPY NEW YEAR.[/h]
sasa jamani...tuje wapi?
karibu tarehe 25 Dec. Nipo DarHewala mama, hebu tupe uelekeo, siku na wakati ambao tutapaswa kuja.
Binafsi ningependa kujumuika nawe au familia yako siku ya tar 25 Dec kama tu wewe ni mkazi wa Bandari ya Salama.
thank you KOKUTONAYou too Von Mo, be blessed and have happy holidays. Marry Christimas and Happy new year 2013,