paul milya
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 285
- 93
Kwa mtazamo wangu wa kuona na kusikiliza! Nimeona kabisa ya kwamba chama cha mapinduzi imemtema huyu member wao muhimu sana ndani ya chama cha chao cha mafisadi!
Namkaribisha huyu Ndg EL ndani ya vyama vya upinzani na atimize ahadi hii ya chama kubwa ya upinzani VUA GAMBA VAA GWANDA na bila ya kusita aje na aanike mambo yote ya kifisadi kwa jinsi anavyojua maana tuna imani anajua!
Sina mengi zaidi ya Mi binafsi ningependa kumkaribisha sana huyu Mbunge wa Wilaya ya Monduli katika vyama vya upinzani kwani utu wake umepotea kabisa ndani ya ccm!
Ni hayo tu!
Namkaribisha huyu Ndg EL ndani ya vyama vya upinzani na atimize ahadi hii ya chama kubwa ya upinzani VUA GAMBA VAA GWANDA na bila ya kusita aje na aanike mambo yote ya kifisadi kwa jinsi anavyojua maana tuna imani anajua!
Sina mengi zaidi ya Mi binafsi ningependa kumkaribisha sana huyu Mbunge wa Wilaya ya Monduli katika vyama vya upinzani kwani utu wake umepotea kabisa ndani ya ccm!
Ni hayo tu!