Edward Ngoyai Lowassa anavuruga amani ya nchi

Edward Ngoyai Lowassa anavuruga amani ya nchi

Ni kweli kabisa unachosema kuwa huyu Bwana hana sifa kabisa hata ya kuwa mkuu wa wilaya kwa sasa,amekwisha amechoka,anatetemeka,anaongea kwa jazba, hana kumbukumbu nzuri,lakini kwa vile nchi yetu inaongozwa watu wenye busara zao wanaweza kukuacha tu ukafanya ujinga wako laknini ukaja ukaaanguka shimoni mwenyewe na kuvunjikavunjika wale wliokuwa wanakufuata kama nzi wanakaa pembeni wanaanza kusema tulijua hafiki mbali,ndivyo tabia ya Watanzania walivyo kama ulishawahi pata rafiki wa namna hiyo utakuwa unanielewa,Watanzania hawaaminiki mpaka siku watakopojitambua kuwa wanahitaji kufanya kazi kwa bidii ili nchi yao isonge mbele.

Kumbukumbu kweli inatoweka taratibu. Siku ya kupokea form za kusaka wadhamini nakumbuka hata salaam ya Peoples ilikumbukwa baadaye. Ilianza salaam iliyozoeleka CHADEMA (CCM) Oyee! Na kuna wakati ""nsensema malunde" iliimbwa na maneno kama "sintowaangusha"kutumika. Yote ni heri kwani ni mihemko ya kisiasa.
 
Mhuni Lowassa hawezi kuleta mvurugano alafu akaachwa ..ajihadhari sana tunamtafadharisha
 
wax

Mtu aliyeshindwa kihoja utamjua tu...ongea facts sio porojo....mimi sio mfuasi wa siasa lakini anachokifanya huyu Lowassa kinanitia mashaka tena mbaya zaidi anatumia vijana...hivi tumelogwa au.....yaani we msiba unaugeuza sehemu ya kijinadi kisiasa? Si laana hii gharama anazotumia kuupata urais hivi akikosa itakuwaje...lazma tuingie kwenye machafuko.

Huyu ni wakuogopwa wala sio vijana kushabikia....wakati nyie mnahangaika kuuana mwezenu atakuwa nje anawaangalia mnavyochinjana tuu...TANZANIA NI YETU SOTE huu ujinga anaoufanya huyu mtu hauvumiliki....

Vingi vitakutia mashaka mwaka huu. Pole
 
Last edited by a moderator:
Yaani nchi hii sijui inapoelekea,mara nyingine huwa nasema labda vijana wa sasa hawajui kufikiri,au hawapati mda mzuri wa kujua nchi yao ipo katika mustakbali gani,wamejaa ushabiki usio na kichwa wala Miguu,au Pesa zimewapofusha au ndio ule msemo "politics is an opium of th society"unafanya kazi???
Mkuu nakushukuru kutukumbusha msemo wa Chairman Mao Tse Tung,Mkuu unacho sema ni sahihi kabisa kinacho endelea ni ushabeki tu hawatafakali janga linalo nyemelea Taifa letu na kwa bahati mbaya baadhi ya Viongozi wao ni part maigizo hayo hatarishi.

Tuwe wakweli hapa-mtu mwenye kulitakia mema Taifa letu hawezi kugeuza msiba kuwa mtaji wa kujinadi kisiasa, kwanza hiyo ni ishara tosha ya ukosefu wa UTU kama hasingekuwepo kwenye msafara huo tungesema hausiki na kuratibu mwenendo wa wafuasi wake, lakini jana alionekana ndie kinara hii ni ajabu kweli kweli!!

Binadamu anayekwenda Kanisani kila j2 au Msikitini hawezi kuwa na Guts zilizo pitiliza mipaka!

Narudia kusema yeye kama kiongozi alipaswa kuwa responsible kuwadhibiti wafuasi wake wa uongo na kweli wasiwe ndio chanzo cha kuleta vurugu katika Taifa letu, kisa cha jana hakikuwa na nia nzuri hata kidogo,ana ambiwa kwenye msiba aende yeye na familia yake na walizi wachache HATAKI! Sasa alitaka kuandamana na kundi kubwa la wafuasi wake ili wafanye nini washushue/zomee vyama vingine na viongozi wao kwenye msiba? Jamaa huyu anapaswa kujirudi fasta afanye kampein za kistaarabu ambazo hazichochei uvunjiu wa amani - tushukuru watu wa usalama kwa shutukia mbinu zao mapema.
 
Jana nimetizama kilichotokea Moshi na pia safari ya Ngoyai Lowassa kuelekea kwenye mazishi ya Mwanachama mkongwe wa chama cha mapinduzi Mzee Peter Kisumo,ilikuwa ni mbwembwe za kisiasa na fujo,hii ni ishara mbaya kwa nchi yetu,huyu mzee amejaa laana haifai kabisa ataleta vurugu ndani ya nchi, watanzania wamezoea amani na kuheshimiana, nimsikiliza Mbatia aliongea ujinga mtupu, yule sio waziri mkuu mstaafu, alijiziulu ni kauli tu ya heshima aliopewa na serikali kuitwa mstaafu, Mbatia usipotoshe watu, ulikuwa umepotea katika ramani umepewa ubunge, tunaona sasa masikio yamezidi kichwa na siku zote naamini unafahamu masikio yakizidi kichwa nini matokeo yake.

Wito kwa serikali yangu na vyombo vya dola, ninyi ndio watunza amani wa nchi hii msije acha mtu mmoja akavuruga amani ya nchi kwa kujinufaisha yeye mwenyewe na familia yake, Chadema wanamtumia tu kama daraja wanajua ni mmbovu ni mchafu,na waliomchafua ni wao wenyewe,watanzania msifanywe kama wajinga,tumieni akili yenu kuhakikisha amani ya nchi inadumu,MUNGU IBARIKI TANZANIA.

wew kama umetumwa kutumika nenda kalale na malaya wako na tena imekula kwako.huku kilimanjaro hadi sasa hamna kitu jana mmetuudhi sana.

ccm hamnaga akili wote n makapi.anayevuruga amani ni nani kama sio nyie vichaa wa lumumba???
mnatumia polisi kuzuia mafuriko??jiandaeni kisaikolojia oktoba 25ni kiama cha watu wajinga na walafi kama wew.
 
wax

mtu aliyeshindwa kihoja utamjua tu...ongea facts sio porojo....mimi sio mfuasi wa siasa lakini anachokifanya huyu lowassa kinanitia mashaka tena mbaya zaidi anatumia vijana...hivi tumelogwa au.....yaani we msiba unaugeuza sehemu ya kijinadi kisiasa? Si laana hii gharama anazotumia kuupata urais hivi akikosa itakuwaje...lazma tuingie kwenye machafuko.

Huyu ni wakuogopwa wala sio vijana kushabikia....wakati nyie mnahangaika kuuana mwezenu atakuwa nje anawaangalia mnavyochinjana tuu...tanzania ni yetu sote huu ujinga anaoufanya huyu mtu hauvumiliki....

toa umbea huko,alitumia gharama gani?mmezoea kuibia nchi leo mnaona chakula chenu kiko hatarini mnadai mnapenda amani wakati wenzenu huku mlo moja kwa siku.hata hawa polisi hawawapendi ccm ila amri tu na iko siku .........
 
LUMUMBA KUNA VIBAKA, Mtoa uzi huu katoka huko.
al shabab bora wapige kale kajengo ka ccm lumumba, walau nyoka,kenge,vibaka,wezi lunkunku,mashoga,mafirauni, WAFE WOTE.
AL SHABAB watapata thawabu kwa mungu .
 
Jana nimetizama kilichotokea Moshi na pia safari ya Ngoyai Lowassa kuelekea kwenye mazishi ya Mwanachama mkongwe wa chama cha mapinduzi Mzee Peter Kisumo,ilikuwa ni mbwembwe za kisiasa na fujo,hii ni ishara mbaya kwa nchi yetu,huyu mzee amejaa laana haifai kabisa ataleta vurugu ndani ya nchi, watanzania wamezoea amani na kuheshimiana, nimsikiliza Mbatia aliongea ujinga mtupu, yule sio waziri mkuu mstaafu, alijiziulu ni kauli tu ya heshima aliopewa na serikali kuitwa mstaafu, Mbatia usipotoshe watu, ulikuwa umepotea katika ramani umepewa ubunge, tunaona sasa masikio yamezidi kichwa na siku zote naamini unafahamu masikio yakizidi kichwa nini matokeo yake.

Wito kwa serikali yangu na vyombo vya dola, ninyi ndio watunza amani wa nchi hii msije acha mtu mmoja akavuruga amani ya nchi kwa kujinufaisha yeye mwenyewe na familia yake, Chadema wanamtumia tu kama daraja wanajua ni mmbovu ni mchafu,na waliomchafua ni wao wenyewe,watanzania msifanywe kama wajinga,tumieni akili yenu kuhakikisha amani ya nchi inadumu,MUNGU IBARIKI TANZANIA.
We ndiye mwenye laana usiyeweza kuchanganua mambo. Wewe ndye mjinga wa kweli maana hujui fujo ni nini? Wewe ndiye mjinga usiyejua wachafu ni nani. Chenge, ana tibaijuka etc mbona huwasemi. Mjinga kweli wewe. Unatumia matako kufikiri ndio maana huwezi changanua mambo.
 
Ni kweli ni Rais wenu lakini sio wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...............

Rais anachaguliwa na Watu na Watu ndio hao wanamuunga mkono Lowasa kwa Mantiki hiyo Lowasa huenda akawa Rais wetu Inshaalah.
 
Stupi.d, gay mentality, ma.vi ya kuku wee

Unajua wakati mwingine huruma ya Rais wetu Kikwete, inatuletea shida, maana yake nn? Mbatia alipigwa na Halima Mdee kwenye jimbo la Kawe na akatulia, Rais wetu aliona ni vema na yy aende bungeni na yy akatoe mchango wake, tena hajambagua kama mpizani, leo mbatia anajion kma yy ni mjanja sana kuliko Rais wetu, Mbatia, Lowasa na wenzao wanafahamu kabisa kwamba kinachofanyika ni makosa, ila tu ni upuuzi wanaoufanya
 
Jana nimetizama kilichotokea Moshi na pia safari ya Ngoyai Lowassa kuelekea kwenye mazishi ya Mwanachama mkongwe wa chama cha mapinduzi Mzee Peter Kisumo,ilikuwa ni mbwembwe za kisiasa na fujo,hii ni ishara mbaya kwa nchi yetu,huyu mzee amejaa laana haifai kabisa ataleta vurugu ndani ya nchi, watanzania wamezoea amani na kuheshimiana, nimsikiliza Mbatia aliongea ujinga mtupu, yule sio waziri mkuu mstaafu, alijiziulu ni kauli tu ya heshima aliopewa na serikali kuitwa mstaafu, Mbatia usipotoshe watu, ulikuwa umepotea katika ramani umepewa ubunge, tunaona sasa masikio yamezidi kichwa na siku zote naamini unafahamu masikio yakizidi kichwa nini matokeo yake.

Wito kwa serikali yangu na vyombo vya dola, ninyi ndio watunza amani wa nchi hii msije acha mtu mmoja akavuruga amani ya nchi kwa kujinufaisha yeye mwenyewe na familia yake, Chadema wanamtumia tu kama daraja wanajua ni mmbovu ni mchafu,na waliomchafua ni wao wenyewe,watanzania msifanywe kama wajinga,tumieni akili yenu kuhakikisha amani ya nchi inadumu,MUNGU IBARIKI TANZANIA.


Mkuu lete hoja ya maana hapa, jaribu kupunguza wivu usio na tija kw jambo ambalo hauwezi kushindana nalo...!

Mwaka wa uchaguzi Mkuu ktk nchi yetu, Maandamano ya wananchi kw mgombea wao ni jambo la hamasa ktk kipindi hiki kuelekea 25 th October.
Hayakwepeki hayo..., Muhimu ni kuvumiliana. Subirin Dr Pads na wenzie waje Moshi na nyie mfanye yenu.

Hon Mbatia yupo juu... Kama kupewa ni jambo rahisi basi hata Miss Wema Sepetu pamoja na ww mngepewa huo ubunge na Kiti.
Mwaka wa uchaguzi mkuu ni mwaka wa kuvumiliana, amani itawale Watanzania tupate kuishi vzr.
 
Nchi hii ni ya kidemokrasia chama tawala acheni kutumia vyombo vya ulinzi kukandamizi upinzani. Watu wamejichokea zao ccm ndo mtakuja kuvuruga amani ya nchi mkijiona MNA hati miliki kuongoza. Lowasa mashabiki kumfata ndo kuvunja amani mana hao RAIA hawana silaha yoyote. Lazima kuwe na fair grounds ya politics kwa nchi yetu. Naona wanufaika na mfumo mnahangaika kutunga kila jambo uzuri wananchi wanajielewa sana
 
Back
Top Bottom