Edward Ngoyai Lowassa anavuruga amani ya nchi

Edward Ngoyai Lowassa anavuruga amani ya nchi

Hakuna amani kwenye nyumba iliyo na njaa!!watu wakifanya ukomboz wewe sema wanasababisha vita,wanafunzi wakisomea kwenye vumbi na kukaa chini sema tuna amani!

Mr Loivotock tukianza kujikubali kuwa sisi ni wavivu na hatujui kuweka akiba ndipo siku nchi itaweza kwenda mbele,hata mkishushiwa malaika awaongoze lakini kama ninyi wenyewe hamtaki kufanya kazi,mnaishi kwa unjajaunjanja,au mnasubiri mletewe sahani mezani kwa kupiga siasa hatufiki popote(watanzania)...........
 
Ungekuwa unaipenda Tanzania usingetetea upuuzi! Hivi mtu kuvaa nguo yake anaeipenda Ni kosa?? Imeanza lini Tanzania?? Hawakuambiwa waache bendera waliambiwa hawatakiwi kwenda labda lowasa na mlinzi wake tu, hata mbatia yeye mwenyewe tu aliruhusiwa!! Sijawahi kuona ama kusikia ila only Tanzania wapinzani wananyimwa kushiriki ktk msiba!! Shame on u guyz

By critical thinking umenielewa sana ila unajifanya hujaelewa..............
 
CCM mnamuhofu sana Lowasa sjui kwanini
 
Mtu aliyeshindwa kihoja utamjua tu...ongea facts sio porojo....mimi sio mfuasi wa siasa lakini anachokifanya huyu Lowassa kinanitia mashaka tena mbaya zaidi anatumia vijana...hivi tumelogwa au.....yaani we msiba unaugeuza sehemu ya kijinadi kisiasa? Si laana hii gharama anazotumia kuupata urais hivi akikosa itakuwaje...lazma tuingie kwenye machafuko ..... Huyu ni wakuogopwa wala sio vijana kushabikia....wakati nyie mnahangaika kuuana mwezenu atakuwa nje anawaangalia mnavyochinjana tuu...TANZANIA NI YETU SOTE huu ujinga anaoufanya huyu mtu hauvumiliki....

Hebu jaribu tu kuangalia upepo mtaani!
Hivi mlitaka afanyaje?
Kama anafuatwa akimbie?
 
Jana nimetizama kilichotokea Moshi na pia safari ya Ngoyai Lowassa kuelekea kwenye mazishi ya Mwanachama mkongwe wa chama cha mapinduzi Mzee Peter Kisumo,ilikuwa ni mbwembwe za kisiasa na fujo,hii ni ishara mbaya kwa nchi yetu,huyu mzee amejaa laana haifai kabisa ataleta vurugu ndani ya nchi, watanzania wamezoea amani na kuheshimiana, nimsikiliza Mbatia aliongea ujinga mtupu, yule sio waziri mkuu mstaafu, alijiziulu ni kauli tu ya heshima aliopewa na serikali kuitwa mstaafu, Mbatia usipotoshe watu, ulikuwa umepotea katika ramani umepewa ubunge, tunaona sasa masikio yamezidi kichwa na siku zote naamini unafahamu masikio yakizidi kichwa nini matokeo yake.

Wito kwa serikali yangu na vyombo vya dola, ninyi ndio watunza amani wa nchi hii msije acha mtu mmoja akavuruga amani ya nchi kwa kujinufaisha yeye mwenyewe na familia yake, Chadema wanamtumia tu kama daraja wanajua ni mmbovu ni mchafu,na waliomchafua ni wao wenyewe,watanzania msifanywe kama wajinga,tumieni akili yenu kuhakikisha amani ya nchi inadumu,MUNGU IBARIKI TANZANIA.


Ni kweli kabisa lowasa hana sifa za kugombea cheo chochote cha kisiasa tangu ccm ilipokata jina lake. Tume ya uchaguzi pia isimruhusu kugombea urais na iwaeleze chadema kuwa mtu wao hana sifa na iwaruhusu kupeleke mgombea mwingine kabla muda haujaisha.
 
Hebu jaribu tu kuangalia upepo mtaani!
Hivi mlitaka afanyaje?
Kama anafuatwa akimbie?

Hili ----- halielewi hata kinachoendelea. Limekurupuka tu na habari zake za Mihemke. Wananchi walianza kumfuata El kuanzia kia kwa pik pik na magari. Na alipofika keys Hotel aliongea na wananchi na kuwaomba wamruhusu aende msibani maana walikua wamemzunguka.

Pia aliwaomba wananchi wasitishe hayo maandamano na wajiandae atakuja rasmi. Ila wananchi waliendelea kumfiata. Xa ye angefanyaje.. Ulitaka aite pilice wawapige mabomu.
 
Ni kweli kabisa lowasa hana sifa za kugombea cheo chochote cha kisiasa tangu ccm ilipokata jina lake. Tume ya uchaguzi pia isimruhusu kugombea urais na iwaeleze chadema kuwa mtu wao hana sifa na iwaruhusu kupeleke mgombea mwingine kabla muda haujaisha.

Ni kweli kabisa unachosema kuwa huyu Bwana hana sifa kabisa hata ya kuwa mkuu wa wilaya kwa sasa,amekwisha amechoka,anatetemeka,anaongea kwa jazba, hana kumbukumbu nzuri,lakini kwa vile nchi yetu inaongozwa watu wenye busara zao wanaweza kukuacha tu ukafanya ujinga wako laknini ukaja ukaaanguka shimoni mwenyewe na kuvunjikavunjika wale wliokuwa wanakufuata kama nzi wanakaa pembeni wanaanza kusema tulijua hafiki mbali,ndivyo tabia ya Watanzania walivyo kama ulishawahi pata rafiki wa namna hiyo utakuwa unanielewa,Watanzania hawaaminiki mpaka siku watakopojitambua kuwa wanahitaji kufanya kazi kwa bidii ili nchi yao isonge mbele.
 
Omuchimai! Sijui una umri gani, lakini nataka kukuambia kitu kimoja; watanzania wengi wameyasikia yote yanoyosemwa kuhusu Lowasa; whether ni ya ukweli ama uongo, ila wamemkubali kwa jinsi alivyo na wanataka awaongoze kwa jinsi alivyo kwa sababu wana kiu ya mabadiliko au kitu kipya! Tatizo lenu ccm hamuelewi hilo, mnadhani watu wanaomsapoti Lowasa hawajui mengi kuhusu yeye, la hasha wanajua pengine hata kuliko wewe ulitoa post hii. Jiulize hili swali! Kama ccm wanajua kuwa Lowasa hafai, kwanini wasichukue hiyo kama fursa ya wao kushinda kwenye uchaguzi? Badala yake mbona mnakuwa tena washauri kwa upinzani? Huoni kwamba hiyo ni dalili ya hofu? Watanzania tutachagua mabadiliko, ninyi ccm endeleeni kuchagua watu' maana ndiyo falsafa yenu!
 
Jana nimetizama kilichotokea Moshi na pia safari ya Ngoyai Lowassa kuelekea kwenye mazishi ya Mwanachama mkongwe wa chama cha mapinduzi Mzee Peter Kisumo,ilikuwa ni mbwembwe za kisiasa na fujo,hii ni ishara mbaya kwa nchi yetu,huyu mzee amejaa laana haifai kabisa ataleta vurugu ndani ya nchi, watanzania wamezoea amani na kuheshimiana, nimsikiliza Mbatia aliongea ujinga mtupu, yule sio waziri mkuu mstaafu, alijiziulu ni kauli tu ya heshima aliopewa na serikali kuitwa mstaafu, Mbatia usipotoshe watu, ulikuwa umepotea katika ramani umepewa ubunge, tunaona sasa masikio yamezidi kichwa na siku zote naamini unafahamu masikio yakizidi kichwa nini matokeo yake.

Wito kwa serikali yangu na vyombo vya dola, ninyi ndio watunza amani wa nchi hii msije acha mtu mmoja akavuruga amani ya nchi kwa kujinufaisha yeye mwenyewe na familia yake, Chadema wanamtumia tu kama daraja wanajua ni mmbovu ni mchafu,na waliomchafua ni wao wenyewe,watanzania msifanywe kama wajinga,tumieni akili yenu kuhakikisha amani ya nchi inadumu,MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Ccm mkibanwa ndo ivo je tibaijuka na muhongo wao ndo wanadimba
 
Hivi huo msafara kama ungekuwa ni wa mafunguo wangeuzuia kweli jamani hivi kwa nini maccm yana hila hivi yani badala ya kukaa na kumnadi mgombea wao matokeo yake wanazidi kumpaisha raisi pendwa wa watanzania mh lowassa ama kweli mafunguo amedoda kwa sababu sioni hata thread zake humu ndani zikijadiliwa na wanaccm matokeo yake wana ccm wote wanamjadili lowassa......du poleni sana ccm hamna pakuhemea
 
Jana nimetizama kilichotokea Moshi na pia safari ya Ngoyai Lowassa kuelekea kwenye mazishi ya Mwanachama mkongwe wa chama cha mapinduzi Mzee Peter Kisumo,ilikuwa ni mbwembwe za kisiasa na fujo,hii ni ishara mbaya kwa nchi yetu,huyu mzee amejaa laana haifai kabisa ataleta vurugu ndani ya nchi, watanzania wamezoea amani na kuheshimiana, nimsikiliza Mbatia aliongea ujinga mtupu, yule sio waziri mkuu mstaafu, alijiziulu ni kauli tu ya heshima aliopewa na serikali kuitwa mstaafu, Mbatia usipotoshe watu, ulikuwa umepotea katika ramani umepewa ubunge, tunaona sasa masikio yamezidi kichwa na siku zote naamini unafahamu masikio yakizidi kichwa nini matokeo yake.

Wito kwa serikali yangu na vyombo vya dola, ninyi ndio watunza amani wa nchi hii msije acha mtu mmoja akavuruga amani ya nchi kwa kujinufaisha yeye mwenyewe na familia yake, Chadema wanamtumia tu kama daraja wanajua ni mmbovu ni mchafu,na waliomchafua ni wao wenyewe,watanzania msifanywe kama wajinga,tumieni akili yenu kuhakikisha amani ya nchi inadumu,MUNGU IBARIKI TANZANIA.

Tusifikie mahala kweli tukaonekana kama wote ni mburula, Tanzania hii tuna kiongozi mmoja tu ambaye anayeongozana na msafara muda wote ambaye ni Rais Kikwete, Lowasa anataka kutuletea machafuko hapa nchini kwani anataka kutumia vijana wasio na ufahamu kutuletea vurugu ndani ya nchi, huwezi kwenda msibani kwa msafara kma unakwenda harusini, tena anatumia mbinu za ajabu kabisa, mm nilifuatilia jinsi alivokua anatafuta wadhamini, wenzake wote walipata wadhamini kwa mikoa michache, yeye kazunguka nchi nzima, maana yake nini? mm nadhani sasa ifikie mahala viongozi wote wa juu watambue amani ya chi hii.
 
nawahakikishia watanzania.kwa hali ilivyo ccm na jeshi la polis huenda.wakawa chanzo cha vurugu kwenye uchaguzi huu. dalili ya mvua ni mawingu..
 
ni ujinga kushabikia alichofanya lowasa jana
Ni upumbavu kushabikia upuuzi wanaofanya police Ccm, hivi kwani lowasa aliwaita hao vijana au walijileta wenyewe?? Ni dhambi na wao kwenda kumzika marehemu??
 
CCM wangekupa elimu bora ungeleta mambo ya maana.
Huu utumbo unaletwa na polisi tu ambao ni form four leaver.
 
Mi naona ndugu zangu ccm ndio mnazidi kumpa umaarufu Lowassa kwa kumkataza vitu kama misiba,kitengo chenu cha propaganda kipo poor sana na kibaya zaidi hata makada na nyie hamna msaada wowote wa kukiokoa chama chenu octoba zaidi ya propaganda za kizamani za kuwatisha watanzania eti anavuruga amani,mi naamini amani itavurugwa na wanachama wa ccm kwa kutoukubali ukweli mchungu wa kushindwa uchaguzi na si wapinzan kwani kimsingi wapinzani chaguzi zote kuuzote wamekuwa wakishindwa tena wakati mwingine inasemekana kwa hila lakini sikuwahi kuwasikia wakivunja amani
 
Back
Top Bottom