iCode
JF-Expert Member
- Oct 16, 2013
- 774
- 473
Omuchimati
Jipange kabla ya kuandika , wewe tangu lini uliona limit ya watu kwenda misibani au harusini, au ni katiba gani iliyotekelezwa na poilisi jana ya kuzuia wasamaria wema kwenda salamu za mwisho kwa Hayati Mzee Kisumo.Badala ya kushangaa na kukemea unakuja na upotoshaji usio na tija, Kwanza unapoteza muda kuitetea policcm.
Jipange kabla ya kuandika , wewe tangu lini uliona limit ya watu kwenda misibani au harusini, au ni katiba gani iliyotekelezwa na poilisi jana ya kuzuia wasamaria wema kwenda salamu za mwisho kwa Hayati Mzee Kisumo.Badala ya kushangaa na kukemea unakuja na upotoshaji usio na tija, Kwanza unapoteza muda kuitetea policcm.
Last edited by a moderator: