Mnatabiria watu vifo utadhani ukuu wa mkoa ndo uungu! Mungu akuhurumie tu kwa unayofanya.Kwani siyo mgonjwa? Kwani hatakufa?
ShukraanOk karibu tena jamvini mkuu
Ndiooooo nakazia hapa Dada.Hayo maneno yameniuma sana.
Tuko pamoja Mzee wangu,panapo majaaliwa nitakupigia tena kura 2020 In Shaa Allah
Na kwa tume ipi cha uchaguzi? Nilifikiri huu ungekua muda muafaka wa kudai tume huru ya uchaguzi na mabadiliko ya katiba kuhusu utangazwaji wa matokeo ya RaisHivi CDM mnaamini kweli mtashika dola? Lini, kwa mbinu zipi na Mgombea gani???
Na Lowassa hapaswi kuyaongelea hayo. Mtu huwezi kuzungumza mbele za watu kwamba "Mimi sijawahi kulazwa" Mungu atakusikia. Nadhani nimeeleka tens sana sanaNdiyo yameniingia kwa sababu nategemea zaidi kutoka kwa Kiongozi wa Kisiasa zaidi ya kupiga ramli hapa, kwani kuna tofauti gani fisadi Lowasa asipokufa leo? Si ni swala la muda tu kabla na yeye au Binadamu mwingine yoyote yule hajafa, sasa kwa nini hata anaongelea jambo la kijinga namna hiyo?
Tunataka kusikia chadema kama Chama cha Siasa wana ajenda gani kwenda mbele na siyo kuongelea vifo.
huyu mzee si alisema baada ya uchaguzi atakwenda kwao kuchunga ng'ombe???mjini bado anatafuta nini?"Bila Ujasiri na Umoja wa Dhati hawa jamaa lazma wataendelea kutupiku lakini niwashukuru vile vile kwa kukubali kubeba lawama juu yangu wako waliosema huyu ni mgonjwa na atakufa bado mlinipigia kura nyingi ila Mungu ndiye hupanga yote"
Edward Lowassa - Mbinga
Haitokaa itokee hii,mark my words.eduard lowasa mungu ukuongoze mpaka 2020 uje ukomboe wana wa taifa hili lililochini ya kiongoz kocha mchezaji
Utakuwa umeutumia Uhuru wako vibayaHayo maneno yameniuma sana.
Tuko pamoja Mzee wangu,panapo majaaliwa nitakupigia tena kura 2020 In Shaa Allah
Mungu akulinde mzee wetu, hakika wewe ni tunu na mwangaza wa mafanikio katika maisha yetu, tunayaweza yote katika yeye atutiaye nguvu"Bila Ujasiri na Umoja wa Dhati hawa jamaa lazma wataendelea kutupiku lakini niwashukuru vile vile kwa kukubali kubeba lawama juu yangu wako waliosema huyu ni mgonjwa na atakufa bado mlinipigia kura nyingi ila Mungu ndiye hupanga yote"
View attachment 439791
Edward Lowassa - Mbinga
Hivi waliosema hivi wamebaki wangapi ?"Bila Ujasiri na Umoja wa Dhati hawa jamaa lazma wataendelea kutupiku lakini niwashukuru vile vile kwa kukubali kubeba lawama juu yangu wako waliosema huyu ni mgonjwa na atakufa bado mlinipigia kura nyingi ila Mungu ndiye hupanga yote"
View attachment 439791
Edward Lowassa - Mbinga
Kweli?bado nina imani nawe mzeee
wazee wakufukua...aiseee
😎Ngoja tutakuja na conclusionHivi waliosema hivi wamebaki wangapi ?