Kwa wasiofahamu vizuri, Edward Lowassa ni front man tu katika hizi vulugu za kutafuta kuteuliwa kuwa mgombea Urais wa Tanzania.
Watu walioko nyuma ya Lowassa hawawezi kuruhusu Lowassa kuihama CCM labda kama kwa sasa wana amini CCM haichaguliki tena. Mpaka sasa hakuna vielelezo vinavyoonyesha kama CCM haichaguliki katika kiti cha Urais.
Ikumbukwe kuwa katika siasa za Tanzania a winner-takes-all.
Uchafu wa Lowassa na kundi lake ni mwingi sana kiasi kwamba hawawezi kuruhusu CCM iwe chama cha upinzani kwa sababau itakuwa ni kukaribisha zimwi wasilolifahamu kwenye nyumba yao iliyojaa uchafu wa kisiasa, kiuchumi na kijamii. Hii ni sawa na kuwa member wa drug cartel halafu baada ya muda ukataka kuachana na biashara hiyo. Haiwezekani member wenzako wakakuacha uondoke huku ukiingiza oxygen mwilini!
Timu Lowassa wanafahamu the stakes are too high, the costs are too dear, and they are ridiculous afraid to keep fighting, but on the other hand, CCM establishment will never allow that to happen…thanks to CCM doctrine and advanced internal intimidation.
Kuna baadhi ya watu wanashangaa wakisikia Lowassa anasema kama kuna mtu hamtaki ndani ya CCM, basi huyo mtu aondoke yeye na siyo Lowassa. Lowassa na timu yake are there to stay!
CCM na Timu Lowassa (Wanamtandao) ni kama drug cartel!
Leo wanatupiana maneno lakini kesho utawaona kwenye majukwaa wakipongezana na kuombeana kura.
Ninawashangaa kidogo wale ambao hawaifahamu CCM vizuri!