1 Rostam Aziz-alijivua gamba kwa tuhuma za ufisadi.
2.Kingunge N Mwiru-alishutmiwa kuiba mapato ya Ubungo Bus Terminal
3.Madabida-alishutumiwa kuuza ARV feki
4.Emmanuel nchimbi-alishutumiwa katika operesheni Tokomeza
5.Fazaal -mmiliki wa leopard tours alishutumiwa kuwanyanyasa watumishi wake.
source:hapahapa JF
WanaJF hebu ongezeeni Team lowassa members mnaowafahamu!