Edward Lowassa special thread


Karamagi
Husein Bashe
Abubakar LYONGO- Huyu amekula posho za waandishi kwenye safari ya matumaini
 
Cheki huyu boya wa chadema anavyoangaika na wagombea wa CCM ... watu wa CCM Wanakuhusu nini..??? Mwaka huu msipokuwa vichaaa sijui
 

6.bucho
7.stata mzuka
 
maiti inayonadiwa na mashetani kuwa inafaa sana kuliongoza taifa hili...
 
Nimecheka sana ila najua mwisho wa ubaya aibu...kubali au kataa kwa sasa hakuna zaidi ya lowasa hata kilanja wa taifa anajua ngoma inogire wajameni coz mtabandika picha kwenye office zenu....na kujipanga barabarani.
 
Ccm top 5- 2015 1. Lowasa 2. Mwandosya 3. Membe 4. Ramdhani 5. Migiro "ukawa na watz wote mpoo"
 
Acha wajihesabu tujue idadi yao tukizidisha x 100,000/= tutapata jumla ya fedha alizohonga Lowasa ili kupata wafuasi.
 
Hakuna mtu mwenye busara anayeweza kumuunga mkono EL.Ukiona mtu anamuunga mkono Lowasa ujue ni mchumia tumbo au busara zimehama au ana vyote viwili!
 
...mkahesabiane chooni, huku watu tunaojitambua tuko bize....
 
maiti inayonadiwa na mashetani kuwa inafaa sana kuliongoza taifa hili...

Makundi yatatutukanisha sana mwaka huu... Wagombea wanaitwa maiti na wapiga kura wanaitwa mashetani...

Jamani upinzani wa kisiasa si ugomvi...
 
.........Kikwete anatuhumiwa kuliingiza taifa katika Ufisadi wa hali ya juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…