Dongo La Kiemba
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 1,830
- 1,265
Nimetulia....Hahahaha tulia wewe, wewe unafikiri urais unapewa kwenye kisosi ama kisahani? kalaghabaho, unapambana mkuu!
Nimetulia....Hahahaha tulia wewe, wewe unafikiri urais unapewa kwenye kisosi ama kisahani? kalaghabaho, unapambana mkuu!
lowassa my next presdent! we love u all! for real!
Endeleeni kuota! Oct sio mbali!Watanzania Wameapa kutomwingiza fisadi yoyote ikulu Dr. Slaa amebaki kuwa tegemeo la Watanzania
Nimetulia....
umenijibu kizalendo sana, Mungu asaidie
Ikulu ni patakatifu sio nyumba ya walanguzi wala wodi ya wagonjwa
Edo si mtu ambaye "mwenendo wake hautiliwi shaka"...............
Infact EL anafaa kupeperusha bendera ya genge la WAHUNI (CCM) maana kwenye genge hilo ndie anaefaa maana wote wezi tu,,ila urais HAWEZI maana tunahitaji mtu ambaye mwenendo wake hautiliwi shaka!!!!!!!Kwa yeye kutuhumiwa kua mla rushwa na fisadi papa inatosha kwa EL kutokua na sifa ya kua rais wa nchi hii