Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Walio tayari kuchomeka mirija wanafurahi angalia asije akawazuie kuiba akawa anaiba yeye tu ikawa shida mafuriko

Utakufa masikini kwa fikra zako za kiswaili, uyo anayekulipa kuandika hivi mwambie akuongezee. Kwanini msilete proof mnazoongelea kila siku? Mmeshindwa na mafuriko mnaakimbilia maneno, hata kwenye kanga yapo. Hii ndio safari ya matumaini
 
Utakufa masikini kwa fikra zako za kiswaili, uyo anayekulipa kuandika hivi mwambie akuongezee. Kwanini msilete proof mnazoongelea kila siku? Mmeshindwa na mafuriko mnaakimbilia maneno, hata kwenye kanga yapo. Hii ndio safari ya matumaini

Mgeni unatoa povu namna hii utakuwa na nyingi kuliko mimi
 
Hii thread sidhani kama ni Edward Lowassa special thread.
Mtoa mada kajiandae upya.
Unawadhalilisha sana Team Lowassa kwa style yako ya uandishi.
Inaonekana unatumia msuli mkubwa sana wakati record yake inatosha kujieleza yenyewe.
Kaanze upya unatuangusha.
 
Habari inayovuma Mtama, makao makuu ya jimbo la Membe ni kuwa kesho Jumatano, Juni 17, 2015 mtangaza nia Lowasa atakuwapo hapo mji mdogo wa Mtama kusaka wadhamini katika mbio zake za SAFARI YA MATUMAINI. Vijana wa bodaboda wapo tayari kwa tukio la kesho ambalo kama litafanyika litakuwa ni kumuonyesha Membe kuwa Lowasa ni maji marefu. Yetu macho mengi tutasikia mwaka huu toka ndani ya CCM!!
 
* AVUNA WADHAMINI ZAIDI YA ELFU ISHIRINI NA MBILI (22,755).

* Aongozana na Wenyeviti wa Mikoa (CCM) lukuki

* Wa~NEC 6 wote wa Mkoa wa Singinda wamuunga Mkono...

Hii sasa sio mafuriko wala gharika bali ni hali inayotafsiriwa kuwa Lowassa leo Mkoani Singida kafunga kazi. Lowassa leo alipokuwa Mkoani Singida kadiriki kujivunia wadhamini zaidi ya elfu ishirini na mbili (22,755) na hii kwa mara nyingine tena kavunja rekodi yake mwenyewe aliyoiweka akiwa Mkoani Kigoma kwa kupata zaidi ya wadhamini elfu kumi na tatu....

Hii ya leo haijawahi kutokea, tokea tupate Uhuru wa nchi hii wamesikika wanachama wa chama hicho wakiongea na kufurahia idadi hiyo "huyu Mh (Lowassa) ni wa kipekee kwa kweli, huwezi amini kapata zaidi ya wadhamini elfu ishirini na mbili, ni maajabu manake haijawahi kutokea kabisa.. Pamoja na hilo Wa~Nec wote 6 wa Mkoa huu (Singida) leo hii wapo hapa na wamesema wazi kumuunga mkono Lowassa".... E. Kundya akiongea..

Katika zoezi hilo la kutafuta wadhamini Mkoani humu Lowassa ameongozana na wenyeviti wa Mikoa (CCM) zaidi ya 11 wakiwemo wenyeviti wa Mikoa ya Kigoma, Rukwa.... Pia yupo Mkuu wa Mkoa wa Singida....

Mytake: Hii ndio safari ya Matumaini, Mchakamchaka wa Maendeleo....
 
Sisi tunahitaji 450 hao wengine atarudi nao.Huo ni uvunifu wa kanuni za chama chetu siku zote wavunjifu wa kanuni dawa yao ni moja tu.........Jina lake halifiki hata kamati kuu ya chama litakatwa kabla na kamati ya maadili chini ya Makamu wa mwenyekiti wa chama Bwana Mangula.
 
Usanii tupu. Ushirika wa mafisadi,ushirika wa waovu. Uraisi wa nchi hii hauwezi kununuliwa kama bidhaa! Shame. Shame. Shame!
Mtuachie nchi yetu.
 
hela zake hizo unadhani hao wanachama wanadhamini mtu bure ? wanachama wanaangalia nani anaetoa dau kubwa wamdhamini ukijifanya hutaki kutoa hela utapata wadhamini kwa shida sana tena itabidi uwatoe wilayani huko
 
Kutisha kwa Lowassa kutaitisha Kamati Kuu ya CCM, NEC na Mkutano Mkuu?.

Au ndiyo yatatokea yale ya ''ukitaka kumuua nyani usimwangalie usoni''!
 
Lowassa anajivunia mtaji wa watanzania kwa maana asilimia kubwa wanaona huyu ndo suluhisho lao kwaiyo wala msione vibaya watanzania wanavyomuunga mkono,Hii ndo safari ya matumaini inabidi tuikubali na kuipokea kwa mikono miwili
 
Ci naskiaa ili mtu akudhamini lazma utoe pesa? Sasa idadi haimat hapa..mana wengi kwny pesa Utapata tu.hata mkulima leo angetangaza dau kwa yyte anaetaka kudhamin angevuna watu hapaaa.!!!
 
Mazingaombwe ya ccm,jamani hawa waswahili mtawaua
 
Wenzake wameshaanza kurudisha fomu yeye bado anakazana kuongeza wadhamini wakati 450 wanatosha. Huyu mzee ana visa!
 
Kama mnataka kupigiwa kura na Ng'ombe au Fisi, Mkate jina la Lowassa, kama akili hakuna si macho nako yawasaidie!!! kweli nimeamini ukinyimwa akili umenyimwa vyote!! mnaongea kikahaba sana!! Rais ajae ni Lowassa, kaeni kimya!! Mwezi wa saba sio mbali!! sijui mtajificha wapi??? nyie wanafiki!!! hatuja jipanga kufanya kazi ya jundwi! hakuna wa kumzuia Lowassa kwenda Ikulu
 
ama kweli hamna wa kumpinga lowasa ndio naamin hivyo ili ccm ipone lazima lowasa apite
 
Back
Top Bottom