We nae bure kabisa..kiongozi anapimwa kwa kuongea!!!
Never seen....tulis povu likutoke vizur
Acha matusi na ujibu swali,mmepima vipi Lowasa na kuona kuwa anafaa kuwa rais wa jmt
We nae bure kabisa..kiongozi anapimwa kwa kuongea!!!
Never seen....tulis povu likutoke vizur
SAFARI ya matumaini kuelekea ikulu imewadia. Tulianza pamoja kwa umoja na tutamaliza pamoja kwa umoja. Tumaini letu ni kwa mgombea mwenye maamuzi. Njoooni hapa wana LOWASSA tupeane update kwa yanayojili tangu sasa mpaka magogoni.
Kama topic hapo juu inavyojitanabaisha. Kwa sasa kila sehemu hapa Tanzania ni Lowassa tu. Ujio wa tumaini la watanzania!
Tofauti na wagombea wengine ndani ya CCM, Lowassa hutajwa kwa sasa hivi everywhere, kuanzia ngazi ya familia, daladala, usafiri binafsi, maofisini, mashambani na kote, Lowassa anatajwa sana.
Hapo ndipo inapodhihiri kwamba, kweli Lowassa ni tumaini jipya la watanzania!
Ahsanteni sana Lowassians
anajibu mwenyewe au mnamjibia
Asante ila ungeanza kupokea hoja mpya kuliiko kuturudisha tulikotoka.
Mf.ungeeleza uhusiano wa pesa zenu na biashara haramu n.k
Au kwa nini hamna fisadi yeyote aliyekinyume na bosi wako
Dondosheni mzigo
Mahasibu maana yake nini???