Mafuriko hayazuiwi kwa mikono. kama ni rushwa mahakama na vyombo vya sheriua vipo, nendeni mkashtaki. Hata wewe unapenda pesa, ukipewa si lazima umpende aliyekupa
Mafuriko hayazuiwi kwa mikono. kama ni rushwa mahakama na vyombo vya sheriua vipo, nendeni mkashtaki. Hata wewe unapenda pesa, ukipewa si lazima umpende aliyekupa
Waliwezaje kutenda haki kwa wengine ambao hawakuwa chaguo lao wakati wa kusaka wadhamini?
Pesa ni zaidi ya shetani. Kuna mgombea kwa sasa ni Dini na watu wanamwabudu kama Mungu .
Kambi yake tayari imepiga kambi hapa Dodoma. Kusubiri vikao vya maamuzi hasa Kamati Kuu. Wapo wanakambi wanaokaa nyumbani kwa Lowassa hapa Dodoma na wale waliopangiwa nyumba za kulala wageni. Lowassa anausubiri moshi mweupe ufukizwe toka White House,hasa na Kamati Kuu.
Anajua kuwa akichomoza tano bora atachomoza pengine na hata kuwa mteule. Anajua kuwa akijadiliwa na kupitishwa na CC,atajigamba kufaa na kusonga mbele. Ameweka kambi akingoja moshi mweupe ufuke. Wanakambi wanakula na kunywa wakingoja kwa haja.
Kamati Kuu inakutana kuanzia kesho kuamua kama anakatwa au hakatwi. Kufukiza moshi mweusi au mweupe. Tusubiri! Dodoma inarindima.
Mzee Tupatupa (kwasasa Dodoma)
Lowassa ana laana ya Baba wa taifa Mwl Nyerere.
Wakuu
Mi si mpenzi wa siasa,
Lakini naomba niseme japo kidogo,lakini kiukweli lowassa anatishaa,Nimekuwa nafuatilia siasa hapa na pale lakini nimeona kila anayegombea adui yake namba moja ni lowassa!Najiuliza kwanni bila kupata jibu,imefika mahali hata vikao vya ccm vimekuwa vikiaahirishwa mara kwa mara kuepuka mafuriko ya huyu mh ikumbukwe kuwa si kawaida ya chama cha mapinduzi mpaka muda na mwezi kama huu hawajapata mgombea,lakini ukichunguza siyo kana kwamba wamekusudia lakini kiukweli nikwamba wanajaribu kukwepa jina lowassa.Lowassa ameonekana kuwa tishio kwa wagombea wengine,na kibaya zaidi kinachowauma ni pale wanapomtukana lowassa lakini lowassa amekuwa mstaarabu kwa kuchaguwa kuwa kimya huku yeye binafsi akijikita kutafuta ushawishi kwa wananchi,ni hivi tu karibuni kutafanyika vikao vya maamuzi ndani ya ccm lakini kuna kila dalili za kutofanyika kikao hicho vinavyotegemewa kuanza wiki ijayo.Ushauri wangu kwa ccm kwa muda mmeshalewa lowassa yuko mbali sna nawashauri tafuteni njia ya kidiplomasia mzungumze naye,mi siyo mwanasiasa lakini nimeliona hili je nyie mlioko huko juu??Yangu macho nione
hauwezi kulala wakati shetani ameingilia familia yako ,ndo maana hata kanisani wakishajua kuwa kuna mawakala wa shetani lazima wachungaji wakeshe kwa maombi ili shetani asiangushe kanisa la mungu ndo wanachokifanya watu makini wanaolitakia mema taifa hili
hauwezi kulala wakati shetani ameingilia familia yako ,ndo maana hata kanisani wakishajua kuwa kuna mawakala wa shetani lazima wachungaji wakeshe kwa maombi ili shetani asiangushe kanisa la mungu ndo wanachokifanya watu makini wanaolitakia mema taifa hili