I am sure pamoja na matusi yote hapa Lowasa he won't make it . Hakuna wa kumkemea lakini he will be told in the open kwamba hafai na hata amini . Matusi si bisara na haiwezi msaidia Lowasa .
Lowasa ana hasira na amejawa na umimi, hana vision hawezi kujieleza .Kashindwa hata kusema why he stepped down as a PM , kama hahusiki na kashfa then why did he step down ?
Wana CCM wana mheshimu late Mwalimu , so kwa kuwa alisha kataliwa mapema kwa matendo yake nina hakika they are ready to be a cursed political party .Lowasa hana la kutueleza sisi watanzania la kunifanya nimwelewe hana hata mfano kuanza Monduli hadi alikpokuwa Waziri Mkuu . Hana na nasema hana . Tujenge hoja tuone ukweli upi matusi si faida wala msaada kwa a soon ditched Lowasa .