Viva ENL
Rais ajaye ni Lowassa. Hilo halina mjadala.
Kesho mh. Lowassa atakuwa Ruvuma kumaliza kazi.
Acheni uwongo wenu...yaan Lowassa aonge watu 53,000? acheni ujinga wakuu...kama mtu anakubalika itakuwa hivyo hivyo...kwanza nadhani wananchi wanafuatilia sana habari, wenzake wanampiga vijembe sana lakini wananchi nadhani wanasema huyo huyo....tusipokuwa makini yale ya Kenya (Uhuru kenyata na kesi zake ICC) na hizi kashfa feki za Lowassa za Richmond yatatokea hapa nchini
ENl ni fisadi na jambazi kuuuuu.Pesa zake ndio zinatuvuta na Uchawi wa tb joshua.
Huku aliwalipa bei rahisi sana!!
Leo ilikua ni zamu ya watu wa mbeya kuvuna mapesa ya Fisadi mkuu.