Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Fisadi Lowassa hakupaswa kulinganishwa hata kidogo na Jaji, ni kutomtendea haki jaji.
 
Hahahahah nakusifu Jambo moja unavyojitahidi kuhamisha ajenda!na kuleta hii badala ya Richmond tehetehete we dereeeeeeee!!!!!!!!!!!!!
 
Mchungangaji aongoze nchi jamani ni sawa da sijui sisiem kama itavuka ila ukawa wajipange hatuangalii sura tunasikiliza sela....

kweli ccm wanatakiwa wajue kuwa nani anweza kushambulia jukwaa kiukweli ili watu wajue uwezo wake,au wampitishe magufuli maana anaonekana ni bora kwenye kuimili jukwa la siasa ili kupambana na hoja za wapinzani.
 
Tushachoka na majungu yenu leteni ushahidi sio kuongea tu Richmond wakati hamna ushahidi
 
Lowassa vigezo vinamtupa

Kigezo

[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Jaji Agustino Ramadhani
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Edward Ngoyayi Lowassa
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Umri
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Miaka 66
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] 62
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Elimu
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Ni ya juu ngazi ya shahada ya sheria
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Elimu ya juu ngazi ya shahada
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Uzoefu wa kazi
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Amebobea kwenye mhimili wa dora upande wa mahakama
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Amebobea kwenye mhimili wa dora upande wa serikali na bunge
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Uadirifu
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Hakuna mashaka yoyote kuhusu uadirifu wake
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Kuna mashaka mengi sana kuhusu suala la uadirifu
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Kazi alizofanya
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Jaji, mwanajeshi, mchungaji
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Kichunga ng`ombe, katibu wa chama, mkurugenzi IACC, mbunge, waziri, waziri mkuu.
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Historia kazini
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Amefanya kazi serikalini hadi amestaafu kwa mjibu wa sheria
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Alijihudhuru uwaziri mkuu kwa tuhuma ya kuipa tenda ya kufua umeme na kuiuzia Tanesco kampuni ya richmond ambayo haikuwa na sifa
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Kugombea urais
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Hajawahi kugombea labda hii itakuwa ni mala ya kwanza
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Aligombea mwaka 1995 jina lilikatwa kwa kukosa sifa
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Hali ya kugombea urais iliyopo hivi sasa
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Ameombwa agombee tena ameombwa sana
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Alianza mda mrefu kuonyesha nia ya kugombea urais, kuna mashaka mengi anahonga, ananunua makundi ili yamuunge mkono
[/TD]

[TD="width: 186, bgcolor: transparent"] Afya
[/TD]
[TD="width: 327, bgcolor: transparent"] Afya yake ni imala sana
[/TD]
[TD="width: 257, bgcolor: transparent"] Afya ni mgogoro mala nyingi huendaUgermani kupima afya, mala kadhaa huwa na kitetemeshi hasa asubuhi, hana uwezo wa kuhimili mikikimukiki kwa mda mrefu
[/TD]

JAJI MKUU RAMADHANI ANA MIAKA 70.....Wengine watakuja na taarifa zingine. Jaji wa Mahakama ya Rufaa anastaafu kisheria akiwa na miaka 65
 
Sina matatizo na uchambuzi wako kwani hiyo ni haki yako lakini tafadhali usiharibu lugha yetu adhimu unapoelezea jambo kwa kutumia kiswahili kibovu.
Najua wengine mtasema lakini ujumbe si umeeleweka?? lakini kwangu mimi ninaona kuwa kama tunaitusi lugha yetu kitu ambacho hakifai kabisa. Ingekuwa anaboronga kiingereza ningeeelewa lakini hata kiswahili jamani???? au hili ninaliona mimi tuu???
 
kesho mh. lowasa atakuwa MAFINGA (w) MUFINDI kusaka wathamini katika safari yake hii ya matumaini, leo watu wanajiandikisha kwa malipo ya tsh. 50000,kwa aliye na kadi ya ccm ili kuhudhuria mkutano wake utakao fanyika uwanja wa wambi siku ya kesho, boda boda 100 zinaandaliwa kwa tsh 70000 kila moja kunagesha msafara sharti ni kuwa na kadi ya ccm sisi waandishi tunalamba tsh. 50000 sasa najiuliza hizi fedha zinatolewa kwetu tu au kote
 
Wanajua nini wakati hawakubaliki walitegemea wangekuwa wanafuatwa lakini wameona hawauziki ndo mana wametulia mapema wanachama wana hamu ya kumuona mgombea wao mapema halafu bila ya kulitaja jina la lowassa huwa mnaumwa na hiyo asilimia mia moja yako najeuri na kiburi utawapeleka kwenye familia yako wakuongoze safari hii kwa nguvu kwa hiari utajinyonga na akili yako ndogo
 
Kama kweli nenda polisi toa taarifa kibaka mwepesi. Yaani wewe mwandisshi wa habari unakuja jf na habari hii? Ama kweli kuna na kanjanja wa porojo
 
kesho mh. lowasa atakuwa MAFINGA (w) MUFINDI kusaka wathamini katika safari yake hii ya matumaini, leo watu wanajiandikisha kwa malipo ya tsh. 50000,kwa aliye na kadi ya ccm ili kuhudhuria mkutano wake utakao fanyika uwanja wa wambi siku ya kesho, boda boda 100 zinaandaliwa kwa tsh 70000 kila moja kunagesha msafara sharti ni kuwa na kadi ya ccm sisi waandishi tunalamba tsh. 50000 sasa najiuliza hizi fedha zinatolewa kwetu

Mkuu sikiliza kwanza nafsi yako inavyokutuma ndio uandike....short of that itabaki ikikuhukumu kwa unayoeneza kwa watanzania wenzako
 
Kote, rostam alifika mafinga jana na furushi la hela likiwa limeandikwa kwa maandishi meusi "abbas gullamali"
 
kesho mh. lowasa atakuwa MAFINGA (w) MUFINDI kusaka wathamini katika safari yake hii ya matumaini, leo watu wanajiandikisha kwa malipo ya tsh. 50000,kwa aliye na kadi ya ccm ili kuhudhuria mkutano wake utakao fanyika uwanja wa wambi siku ya kesho, boda boda 100 zinaandaliwa kwa tsh 70000 kila moja kunagesha msafara sharti ni kuwa na kadi ya ccm sisi waandishi tunalamba tsh. 50000 sasa najiuliza hizi fedha zinatolewa kwetu tu au kote

Mimi nilitaka kuamini kuwa lowasa anatoa pesa lakini kwa sasa sitaki kuamini kutokana na habari zingine ni uongo kweupe
 
Back
Top Bottom