Edward Lowassa special thread

Edward Lowassa special thread

Muwe na Huruma kidogo, huyu nae ni Mzazi iachieni familia kidogo kilichobaki
 
Sibusara kuyaandika maanenoya uongo kumsingizia MTU mwenyeheshima yake Kama lowassa

Tumeongea mengi tumeandika mengi wakati wa Mungu ukifika atasema ameamua kubaki CCM ama anaenda upinzani

Nimtumzima kuanza kumsemea magazetini kilasiku ooh mkekamzuia.ooh jpili aanahamma tumpe muda na tukubali maamuziyake binafsi.....in mategemeo yangu kutoonatena thread za lowassa na uamuzi wake hadihapo atakaposema mwenyewe

Wenyekuhama mmewaona jamani lembeli.bulaya wameita waandishi..na yeye kama ataamua atafaanya hivyo
Busara zitumike kidogo kuelekea kujiandikisha na


BVR

Rev Pdidy
 
Yeye kwani akikaa kimya nchi ya Tanzania inaathirika nini?halafu we nae kama huwezi kuandika mada soma za wenzio.unajaza saver tu
 
Wadau kama wewe unampenda kiongozi huyu shupavu
ingia hapa tuungane kumuunga mkono huyu Jembe na
mzalendo CCM tumeichoka ,Lowassa bado ana
heshima. Naamini tukimchagua Lowassa ataivusha Tanzania yetu salama kwenye
mtihani huu mgumu wa uchaguzi mwaka huu.
Ungana na Team Lowassa kutengeneza timu ya Ushindi ya ndugu yetu Edward Ngoyai Lowassa na tunaamini atayafanyia kazi yale yoote tuliyokubaliana nae kuhusu kuifufua Tanzania inayozama...
Wasalaaam
 
Back
Top Bottom