NAOMBEN KUULIZA; KUNA VITAASIS UCHWARA VINAVYOJIDAI KUFAnya "utafiti uchwara" kuelekea mbio za urais, je;hii inadhihirisha nin kuhusu hivyo vitaasisi?
je;havina mafungamano na rushwa ili kupika takwimu za upotoshaji kama zilivyofanya kina low-hasa?
kuna uhalali wowote wa kuendelea kuwepo ivyo vitaasisi uchwara?