Edward Lowassa special thread

Mabilion yameteketea kwa output sifuri.Safi sana
 
yale malimao waliomwambia gwajima atulishe sisi ndo wanakula wao hahahahahahahah wanaona aibu kwa yalio wasibuuuu walijua kila sehemu ela inatumika kumbe kuna sehemu ela aifanyi kazi mfano kuwa na maconteiner ya fedha alafu upate ugonjwa lazima atafutwe doctor c ela inayokutibu ni doctor sasa doctor kagoma na mgonjwa anakufa .
 
Hahahaaa mimi najiuliza waliolipiwa hotel Dodoma
na kuahidiwa nauli
unaweza kukuta now wanatafutana kuulizana nauli
 
Ni Mapema Mno Tem Lowasa Kuwaona Hum Maana Wengine Wanazimia Wengine Wanawauguza Waliozimia
 
Hahahaaa mimi najiuliza waliolipiwa hotel Dodoma
na kuahidiwa nauli
unaweza kukuta now wanatafutana kuulizana nauli


Ahhahahhahhahha ndo maana tunaambiwa unapoenda mahali usitegemee hela ya mwenyeji Wako beba akiba yakibuma unapo pa kuanzia
 
Sasa sijui ataendelea na zile ziara zake za kutembelea na kusaidia misikiti na makanisa - au ndio itakuwa basi tena???
 
politics is either you win or loose, kwahiyo hakuna cha ajabu kuanguka kwenye siasa

Mfano mzuri ni wa Raila Jaramongi Oginga Odinga ameanguka mara ngapi na amesimama mara ngapi.

Tanzania bado tunajifunza siasa na ndio maana tuna mijadala ya kitoto.
 
Atakuwa keshafika ujerumani kutibiwa mana kufeli kwa Project kama hii iliyogharimu billions of money si mchezo... But hongera kwa mlofaidi pesa zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…