McDonaldJr
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 6,388
- 7,551
Afe kipa au afe beki lzm dhamira itimie duh noma sanaaaa kaka mkubwa anakaba kila sekta mpk aishi pale magogoni
Najuwa kinakuuma sna ila jikazee!!Lowassa ni namba ingne!
Anainua maisha ya watanzania kwa kuwasababishia mgao wa umeme? Boda boda zimekua majeneza yanayotembea .Vijana wanakufa na kuziacha familia zao.Alipokua waziri mkuu alisimamia majengo ya shule za kata kazi ambayo mtu yeyote anaweza kusimamia.Waliokaa ndani ya majengo hayo kwa sasa ndio waendesha bodaboda baadq ya kupata sifuri(Div.5 kwa sasa kupunguza ukali wa maneno)
CCM CHAMA CHA MIZIGO, wote ni mizigo tu CHAMA CHAKAVULowassa ndicho kichwa kilichobaki kupewa nchi,hao wengine wote ni mboyoyo tu hakuna mashine kama El
CCM CHAMA CHA MIZIGO, wote ni mizigo tu CHAMA CHAKAVU
Usijifanye hujui na kupoteza lengo CCM CHAMA CHAKAVU hadi mawaziri wake wanaitwa mizigo kwa kutokushughulikia kero na kushindwa kutekeleza ahadi zao.afadhali Ccm ni chama cha kubeba mizigo ya shida za watanzania,kuliko chadema chama cha wanama na kikanda!
tuambizane,nilimloga mkeo?
Usijifanye hujui na kupoteza lengo CCM CHAMA CHAKAVU hadi mawaziri wake wanaitwa mizigo kwa kutokushughulikia kero na kushindwa kutekeleza ahadi zao.
Kinachoudhi ni watu kufanya promo ya candidate wa nafasi nyeti kama wanauza sabuni ya kufulia kwa maneno mepesi zaidi,ooonh watu wanajua sijui ni kichwa sana,maaara oonh ni yeye tu sijui ni namba ingine yaaani hakuna hoja za maana ila ushabiki tu!!!!!!
Yaaani moyoni hata yeye akikaa huwa anawashangaa ila sababu mnamfanyia kazi basi hawakatazi ila ana maswali mengi sana juu ya uwezo wa akili zenu!!!!
Rais wa ukweli!
Tamasha la Bodaboda(Boda boda Day) linatarajia kufanyika Jumamosi hii katika viwanja vya Leaders,Kinondoni. Mgeni Rasmi atakuwa Mh.Edward Lowasa,ambapo kuanzia saa moja asubuhi wale madereva wa Wilaya ya Temeke wataanzia uwanja wa Taifa,Ilala wataanzia nyuma ya TBC,Tazara,Kinondoni wataanzia katika viwanja vya biafra,maandamano yataelekea katika viwanja vya Leaders ambapo yatapokelewa na mgeni Rasmi mh.Lowasa.
Hata usemeje,we ni mchumba tu.Na yeye ataendesha??
Au atakua ndani ya V8 full kiyoyozi akiwasindikiza kwa nyuma wakipigwa na jua
Inabidi serikali itoe elimu ya lazima ya usalama wa barabarani kwa hawa boda boda.
Ajali zimekuwa nyingi sana ...
Kama "Drones" zinapiga halafu zinasepa bila rubani. Hata Maembe analijua hili.Lowassa ndicho kichwa kilichobaki kupewa nchi,hao wengine wote ni mboyoyo tu hakuna mashine kama El
Kumshirikisha mwe
nyezi kwenye mambo yasiyo na msingi[/QU
mi nafikir ungekuw unamjuwa Mungu ungemuombea babu yenu anayechukuw mke wamtu
CC; Sumaye,Maembe na Samwel 6.Jamaa anakamata kila sekta--> kanisa mpaka bodaboda. Bado kwenye soka tu.
...Lowasa yupi? yule rafiki yake Rostam wa DOWANS? kama ni yule kweli ni kichwa!
Ushauri mzuri,endelea kuamini hivyo,kwani;mkaa bure ni sawa {si sawa kwako} na mtembea bure.Ccm haiwez kufanya makosa 2015
Kusimamisha mgombea anaejtembeza
Itasimamisha mgombea anaejiuza bila kujitembeza