Edward Lowassa kulishtaki gazeti la Dira la Alex Msama

Status
Not open for further replies.
Jun 8, 2011
52
19
Kufuatia mwandishi Joseph Mullinda kutafutiwa kazi kama mhariri wa gazeti la Dira huku akitumwa kumshambulia Edward Lowassa na kundi hasimu na lile la Lowassa na kudaiwa kulipwa mapesa mengi kwa kazi hiyo haramu sasa pesa hizo zinaelekea kumtokea puani Alex Msama na gazeti lake kufuatia toleo la jana jumatatu ambapo gazeti hilo lilinadaiwa na kichwa cha habari.

Kazi ya kumnadi Lowassa imeanza, kampeni sasa ni nchi nzima, jina la Nyerere latumika kumsafisha, mwenyewe apunguza kilevi kujiweka fiti...kufuatia habari hiyo ya kizushi inadaiwa kuwa Lowassa amefikia uamuzi wa kulishtaki gazeti hilo kwa madai kuwa yeye siyo mlevi hivyo wanapodai amepunguza kilevi ni matusi kwake yeye na familia yake na pia tabia ya gazeti hilo kutaka kujikosha kwa jina la lowassa lakini zaidi Lowassa anahoji upuuzi huo utaendelea mpaka lini?

Lowassa ameonekana kukerwa sana na gazeti hilo linaloibuka na uzushi kisha kuupamba na vichwa vikubwa huku mwandishi akiwa hafahamiki badala yake ni kama vile...NA MWANDISHI WETU...mpaka naenda mtamboni hivi punde nimetoka kuzungumza na timu ya mawakili wa Lowassa ambao wanaendelea na zoezi hilo la kujiandaa kudai fidia kutoka kwa gazeti la Dira.
 
Alienda kusafisha nyota nigeria, lakini bado jina la lowasa halikubaliki, labda arudi tena akajisafishe upya.
 
Kufuatia mwandishi Joseph Mullinda kutafutiwa kazi kama mhariri wa gazeti la Dira huku akitumwa kumshambulia Edward Lowassa na kundi hasimu na lile la Lowassa na kudaiwa kulipwa mapesa mengi kwa kazi hiyo haramu sasa pesa hizo zinaelekea kumtokea puani Alex Msama na gazeti lake kufuatia toleo la jana jumatatu ambapo gazeti hilo lilinadaiwa na kichwa cha habari.

Kazi ya kumnadi Lowassa imeanza, kampeni sasa ni nchi nzima, jina la Nyerere latumika kumsafisha, mwenyewe apunguza kilevi kujiweka fiti...kufuatia habari hiyo ya kizushi inadaiwa kuwa Lowassa amefikia uamuzi wa kulishtaki gazeti hilo kwa madai kuwa yeye siyo mlevi hivyo wanapodai amepunguza kilevi ni matusi kwake yeye na familia yake na pia tabia ya gazeti hilo kutaka kujikosha kwa jina la lowassa lakini zaidi Lowassa anahoji upuuzi huo utaendelea mpaka lini?

Lowassa ameonekana kukerwa sana na gazeti hilo linaloibuka na uzushi kisha kuupamba na vichwa vikubwa huku mwandishi akiwa hafahamiki badala yake ni kama vile...NA MWANDISHI WETU...mpaka naenda mtamboni hivi punde nimetoka kuzungumza na timu ya mawakili wa Lowassa ambao wanaendelea na zoezi hilo la kujiandaa kudai fidia kutoka kwa gazeti la Dira.
Mbona issue ni ndogo sana kwanini asianze na Mwanahalisi...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom