Edward Lowassa aungwa mkono na Wamarekani (USA)

John Okello

JF-Expert Member
Sep 24, 2014
459
207
Leo Majira ya saa nne asubuhi nilipokuwa karibu na ubalozi wa marekani nikaona tunasimamishwa kupisha msafara wa balozi wa marekani , Okello baada ya kupisha nikaamua kuufuatilia kwa nyuma, majira ya saa tano hivi Hyatt Regency hotel balozi wa Marekani Mh. Mark Childress alikuwa na kikao na Mh Edward lowassa Mbunge wa Monduli.

Katika kikao hicho walicho kaa wawili hao ni dhahiri wamarekani wameamua kumuunga mkono katika mbio za Kuwakomboa watanzania.

Hivyo wale waakili kubwa ni kwamba wababe wa dunia wanaanza negotiation mapema na Simba wa siasa mwenye maamuzi magumu mapema wasije wakaambulia yalio wakuta waingereza walipo jaribu kuwatikisa watanzania pale Edward Lowassa alipo amua kanda ya ziwa wapate Maji kutoka Victoria..

Kaa Mkao wa Maamuzi na Matumaini mapya.

John Okello ninae omboleza kifo cha Betty Ndenjembi.
 

Attachments

  • 1421322329344.jpg
    1421322329344.jpg
    94.9 KB · Views: 8,197
  • 1421322358732.jpg
    1421322358732.jpg
    42.2 KB · Views: 8,384
Leo Majira ya saa nne asubuhi nilipokuwa karibu na ubalozi wa marekani nikaona tunasimamishwa kupisha msafara wa balozi wa marekani , Okello baada ya kupisha nikaamua kuufuatilia kwa nyuma, majira ya saa tano hivi Hyatt Regency hotel balozi wa Marekani Mh. Mark Childress alikuwa na kikao na Mh Edward lowassa Mbunge wa Monduli.

Katika kikao hicho walicho kaa wawili hao ni dhahiri wamarekani wameamua kumuunga mkono katika mbio za Kuwakomboa watanzania.

Hivyo wale waakili kubwa ni kwamba wababe wa dunia wanaanza negotiation mapema na Simba wa siasa mwenye maamuzi magumu mapema wasije wakaambulia yalio wakuta waingereza walipo jaribu kuwatikisa watanzania pale Edward Lowassa alipo amua kanda ya ziwa wapate Maji kutoka Victoria..

Kaa Mkao wa Maamuzi na Matumaini mapya.

John Okello ninae omboleza kifo cha Betty Ndenjembi.

Kichekesho ....marekani wamemnyima JK hela kwa UFISADI...leo wamunge mkono FISADI?
watakuwa wamegongana tu kila mmoja na issue zake, team lowassa mkatafuta kupiga nae balozi picha.
 
Ikulu hiyo october 31/2015...semeni jingine tukifanya finish ya safari yetu ya matumaini...na leo barozi wa marekani kahesabiwa...
 
..fisadi huyu wa kazi gani,mbona wamasai wake wako hoi......hizo pesa zake apeleke monduli
 
Leo Majira ya saa nne asubuhi nilipokuwa karibu na ubalozi wa marekani nikaona tunasimamishwa kupisha msafara wa balozi wa marekani , Okello baada ya kupisha nikaamua kuufuatilia kwa nyuma, majira ya saa tano hivi Hyatt Regency hotel balozi wa Marekani Mh. Mark Childress alikuwa na kikao na Mh Edward lowassa Mbunge wa Monduli.

Katika kikao hicho walicho kaa wawili hao ni dhahiri wamarekani wameamua kumuunga mkono katika mbio za Kuwakomboa watanzania.

Hivyo wale waakili kubwa ni kwamba wababe wa dunia wanaanza negotiation mapema na Simba wa siasa mwenye maamuzi magumu mapema wasije wakaambulia yalio wakuta waingereza walipo jaribu kuwatikisa watanzania pale Edward Lowassa alipo amua kanda ya ziwa wapate Maji kutoka Victoria..

Kaa Mkao wa Maamuzi na Matumaini mapya.

John Okello ninae omboleza kifo cha Betty Ndenjembi.

Wamarekani wasaidie kutukomboa Watanzania?..are you serious? Unless you intended to give out a subtle message (to warn us about it) or else you're destroying your man's Presidential dreams!
 
Kichekesho ....marekani wamemnyima JK hela kwa UFISADI...leo wamunge mkono FISADI?
watakuwa wamegongana tu kila mmoja na issue zake, team lowassa mkatafuta kupiga nae balozi picha.

Utasubiri sana Wamarekani tumewahesabu...
 
Wana negotiate itakuwaje ukipata sasa

Bye bye Lowassa,this country will never elect another American stooge, sorry! We tried that route with Kikwete and we ended up with Symbion Power and many other exploitative deals.I wonder what have you promised Americans too?
 
Kuna wahuni fulani wa kizungu wanaomsapoti huyu fisadi ila ni kwa maslahi yao asije akafikiri wanawapenda watz saana.
Ajitahidi apigane kufa coz akiukosa urais kipundi hiki labda ataupata huko mbinguni
 
Wewe! Marekani sio wapumbavu hata siku moja. Chomelea hilo kwenye ubongo wako! Alafu kumbe wewe fyatu, unatuletea mambo ya kufuatilia foleni kwa nyuma kutuambia upumbavu! Sijui kawapa sumu gani huyu babu.
 
Back
Top Bottom