Edward Lowassa aungwa mkono na Wamarekani (USA)

U S A hawana Rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu by the way hata babu Slaa walimpokea vizuri.

hatuwapi mafisadi nchi,atafute njia nyingine.
 
Mnajidanganya haitatokea Edward Lowasa akawa rais wa Tanzania watanzania tumechoka kutawaliwa na kuongozwa na mafisadi kama Lowasa kama wamerekani wanampenda akawe rais wao lakini si kwetu Tanzania.Vijana wachumia tumbo mnakazi kweli kweli kumsafisha Lowasa huyo jamaa hasafishiki wala hakubaliki mnao mkubali ni nyie wachumia tumbo na mafisadi.
 
Mnajidanganya haitatokea Edward Lowasa akawa rais wa Tanzania watanzania tumechoka kutawaliwa na kuongozwa na mafisadi kama Lowasa kama wamerekani wanampenda akawe rais wao lakini si kwetu Tanzania.Vijana wachumia tumbo mnakazi kweli kweli kumsafisha Lowasa huyo jamaa hasafishiki wala hakubaliki mnao mkubali ni nyie wachumia tumbo na mafisadi.

Duuh hapo sasa ndio kazi imeanza omba na Maji ulipo maana koo litakauka.
 
Unapokosa hoja chill... EL magogoni


images


Membe akiwa anahutubia UN ,kumwakilisha Mkuu wa Nchi! Jiulize kwa nini hakwenda makamu wa rais?

images


Membe mgeni rasmi kwenye moja ya vyuo mwishoni mwa mwaka jana.

images


akiwa na mkuu wa nchi ananadiwa.
images

tukio maalumu.
9k=


akiwa na mkuu wa nchi.
images


images

akifuahi jambo na mkuu wa nchi.
images

akiwa katika mambo ya kimataifa.
images

akiambatana na mkuu wa nchi.

Membe naye anaungwa mkono na Mkuu wa nchi na watanzania,ndiye atakuwa candidate wa ccm kwa urais,hutakia hunaacha,hakuna matusi.
 
Kweli huyu jamaa anautaka urais wake Kikwete apende asipende. Ni kama namkubali hivi.....hivi atakuwa ameacha kukwapua?
 
Wewe utakua taila unampigia debe lowasa kama marekan wamemkubali waende nae wakamchague wao

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Yaani kwa wanaopigania urais kwa tiketi ya sisiemu, afadhari Wassira, Pinda, au Membe ingawa siwakubali ila nafikiri mara 100 ni bora zaidi ya EL. EL Anatumia nguvu sana, inanipa mashaka anataka nini zaidi? Na pia ni mchafu. Ningepigia sisiemu kura kama tu angesimama Magufuli au Mwakyembe.

Lowasa haitaji kura yako , lakin lazima awe rais
 
Yaani kwa wanaopigania urais kwa tiketi ya sisiemu, afadhari Wassira, Pinda, au Membe ingawa siwakubali ila nafikiri mara 100 ni bora zaidi ya EL. EL Anatumia nguvu sana, inanipa mashaka anataka nini zaidi? Na pia ni mchafu. Ningepigia sisiemu kura kama tu angesimama Magufuli au Mwakyembe.
Labda mwakyembe ndo ana faa halafu waziri mkuu makufuli


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Leo Majira ya saa nne asubuhi nilipokuwa karibu na ubalozi wa marekani nikaona tunasimamishwa kupisha msafara wa balozi wa marekani , Okello baada ya kupisha nikaamua kuufuatilia kwa nyuma, majira ya saa tano hivi Hyatt Regency hotel balozi wa Marekani Mh. Mark Childress alikuwa na kikao na Mh Edward lowassa Mbunge wa Monduli.

Katika kikao hicho walicho kaa wawili hao ni dhahiri wamarekani wameamua kumuunga mkono katika mbio za Kuwakomboa watanzania.

Hivyo wale waakili kubwa ni kwamba wababe wa dunia wanaanza negotiation mapema na Simba wa siasa mwenye maamuzi magumu mapema wasije wakaambulia yalio wakuta waingereza walipo jaribu kuwatikisa watanzania pale Edward Lowassa alipo amua kanda ya ziwa wapate Maji kutoka Victoria..

Kaa Mkao wa Maamuzi na Matumaini mapya.

John Okello ninae omboleza kifo cha Betty Ndenjembi.

Hizi picha kwanza sio za leo, na pili EL alikutana na Mr. Childress kwenye majukumu ya kitaifa. Unafanya juu chini kumfanyia kampeni huyu mwizi, au wewe ndo yeye maana unavuka mpaka!
 
Back
Top Bottom