said kikaa
Senior Member
- Aug 7, 2012
- 108
- 23
akizungumza katika awamu ya pili ya kipindi cha dakika 45 kinachorushwa hawan na katuo cha itv..mbunge wa mondul na mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya mambo ya nje mh. lowasa amewataka watanzania wasikate tamaa na wakati kutambua kama atawania urais ukifika itafahamika.awali akijibu maswali alionekana kukerwa na tabia ya sasa ya viongozi kulalamika pamoja na wananchi wao ilhali walipaswa kutoa na kusimamia maamuzi,. pia ameitaka serikali isiwadharau walimu.