Pusha T
Member
- Jan 2, 2015
- 64
- 22
PLEASE JAMAN NAOMBA KAMA HUNA CHA KUCOMENT UPITE KIMYA KIMYA MAANA HATEFUL COMMENTS ZITANIUMIZA.
Wadau wa jf mimi ni kijana nnae malizia masomo yangu ya diploma miezi miwili ijayo, ninapenda kuchukua fursa hii kuwaomba msaada wa kifedha au wa temporary work au different ideas ambayo itaweza kunisaidia kupata angalau baadhi ya gharama ili niweze kuendelea na masomo
.
Kwa kipindi hiki nimekuwa nikisoma kwa Kudra maana ni mchango wa ndugu yangu ambaye ningependa nimpunguzie majukumuu.
.
Ki ukweli hata hii post nashindwa kuielezea vizur wadau ila kama hauna cha kucoment pls nakuomba upite bila ya kuweka *Hate comments * maana ntazidi kuumia
Wadau wa jf mimi ni kijana nnae malizia masomo yangu ya diploma miezi miwili ijayo, ninapenda kuchukua fursa hii kuwaomba msaada wa kifedha au wa temporary work au different ideas ambayo itaweza kunisaidia kupata angalau baadhi ya gharama ili niweze kuendelea na masomo
.
Kwa kipindi hiki nimekuwa nikisoma kwa Kudra maana ni mchango wa ndugu yangu ambaye ningependa nimpunguzie majukumuu.
.
Ki ukweli hata hii post nashindwa kuielezea vizur wadau ila kama hauna cha kucoment pls nakuomba upite bila ya kuweka *Hate comments * maana ntazidi kuumia