Mwanaume lazima apokee challenge zote mbaya na mzuri , zinazokela na kufurahisha, zinazofikirisha na kudumaza ukiwa mwanaume ni bora kuopeni milango ya fikira yote ili uweze kuchuja lipi jema na baya , lipi linafaa sasa au baadaye .
Ila kama ni mwanamke nisiongee, ndo maana watu wengine hupenda kuuliza we jinsia gani?