Mkuu hata mimi nimekutana na hii changamoto!ukiweka grading system division hata ukishajaza kila filed zote inakwambia kuna sehemu moja unatakiwa kujaza!!Hapo inabidi ubadili grading system uweke nyengine then upload tu cheti cha form 4 n 6 watajiongeza wenyewe!
kama unaomba masters au PhD cheti cha chuo ndo watakachokiangalia sana.