Kuna kongamano la vijana wa Africa linalofanyika SA kwa siku mbili, Tanzania tunawawakilishi wawili mmoja wao ndio huyo alieshindwa kujieleza wakati akihojiwa na Ali Mtasa wa BBC.Mbona mi sijui alichokwenda kuniwakilisha huyo mtu, hebu mleta mada tuweke sawa bwana si wote tunaojuwa.
Wanauita wivu wa kike... The guy is smart na anadeserve hyo chance, we umeanzisha nini kwani cha zaidi??
Inawezekana ni kwel jamaa yuko smart lakin kutokana na maswali alitokuwa anaulizwa na mtangazaji wa BBC na jinsi alivyoyajibu, mtu hawezi tumia ufaham mkubwa kuweza ku-judge vinginevyo
Inawezekana ni kwel jamaa yuko smart lakin kutokana na maswali alitokuwa anaulizwa na mtangazaji wa BBC na jinsi alivyoyajibu, mtu hawezi tumia ufaham mkubwa kuweza ku-judge vinginevyo
nimeona mahojiano haya na Ally Mtasa wa BBc....kama deligate wa kutoka Tanzania yaani ni mmoja kati ya wawili...Edson Mhina...nasema kabisa hakuwa smart...tena tuliokuwa tunaangalia tulianzisha mjadala mkubwa sana amechaguliawaje huko...sikufurahishwa kupata international media coverage kama ile ya BBc....90 seconds unashindwa kijana kueleezea mambo muhim ya katka masuala yanayowausu.....Hapa ndipo ninapowa fikiria toka zaman vijana kama akina Humphrey Polepole...yaani ishu za vijana ni kama sala..kwao...
Mhina aliulizwa maswali mawili..kwanza anaizungumziaje Hotuba ya Kofii anan...hapo hakuweza kabisa..swali lingne...ni vigezo gani wao waechaguliwa kushirk hii forum..aisee....km delagate mwenyewe hajui...
basi kama ni smart naona tunaitaji smarter ktk hizi international delagation..........
Yu are noti richabo!!!Huyu kijana muda huu ndo anahojiwa na Bbc juu ya uwakilish wake huko S. A, sijua hajui kujieleza ama ameteuliwa kifisadi ama hajui kiswahili. Sijui hata kaelezea nini, unaulizwa we umeanzsha mradi gani? Unasema hamna? Sasa amenda kuchukua nini?
sawa alisema hivyo lakini alikuwa anababaika sana, na je huko kuelimisha ameelimisha kitu gani? mbona hakuvitaja? hata yeye mwenyewe alijiona amechemsha maana mpk mtangazaji anaaga yeye amebaki ameduwaa pale pebeni, mimi mwenyewe amenikera sana. Kama walikuwa wanajua atahojiwa kwa nn wasimfundisha kabla ya kwenda? mbona tanzania kuna mambo mengi sana ya kuelezea?na amesema walikuwa wanaongea na wenzake kuhusu changamoto wanazopata vijana mbona sikusikia kuzitaja? mf madawa ya kulevya yanavyoathiri vijana wa africa angezungumza hilo angeonekana wa maana sana.Hivi ni kweli hakutaja kigezo alichochaguliwa au mnaleta utashi,t seems Kiswahili kinampiga chenga ila alitaja sababu za kuchaguliwa yeye
Alisema yeye hakuanzisha miradi ila ana mchango mkubwa kwa vijana katika sector ya elimu,pia ameelimisha vijana wengi kupitia TV (nahisi ni kipindi kile alichokuwa ITV)
hivi tukisema Nchi hii imeoza hamuamini? fuatilia alivyo chaguliwa utashangaa.Baba yake ni kiongozi huko ccm!!!
That is what STUPID is.