Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,576
- 4,060
Unajuana nae nnDu Tarimo ameshindwa kabisa kukomboa mali zake.
Unajuana nae nnDu Tarimo ameshindwa kabisa kukomboa mali zake.
Anadaiwa bei gani ndiyo kiswahili gani? Wewe Mtanzania Kweli? Mbona kiswahili chako kama kina kwikwi vile!Anadaiwa bei gani?
siyo mikopo ni ngoma mkuuMikopo ya benki iliua komba, ni balaa
wewe ni hatari...Daah, miaka ya 2000 tukiwa advance Tanga Tech shule za Eckenford na Coastal zilitusaidia sana kupunguza ukame wa koromeo la chini...
Anyway,Mungu mnusuru Tarimo na kadhia hii
Vidudu vya ngoma huwa vinachachamaa zaidi ukitingwa na mawazo umiza kuliko ukiwa na amani moyoni. Fiatilia, wale waliozikubali hali zao na kuwa na amani wanaishi sana, ila wale kinyume chake mapema sana wanaondoka. Hivyo "Presha inapanda presha" inashuka alikuwa poa tu mpaka pale crdb ilipotangaza kuuza mjengo wake, ndio ikawa balaa.siyo mikopo ni ngoma mkuu
Wafanyabishara wajanja sana hasa wachaga, wahindi na waarabu. Anakopa mkopo mkubwa sana pengine unakuwa na thamani kuliko hata dhamana yenyewe, hapo anakuwa ameshirikiana huo ufisadi na wakuu wa benki husika. Halafu anakuwa amepanga kabisa kutolipa na kuelekeza mkopo kwenye biashara zingine na anakuwa kama ameridhia dhamana yake iuzwe ila kwa nje ya moyo wake hamuwezi jua.Du Tarimo ameshindwa kabisa kukomboa mali zake.
Ameacha hayo mambo mkuu.NBC kuleni na wenzenu... kama q chillah
Dah huyu nae sijasikia kakamatwa
Bora kisandu alishajimalizia vinginevyo nayeye angeuzwa
Hapo kwenye tajiri balaa.... tuonyeshe hilo balaa lake!Wafanyabishara wajanja sana hasa wachaga, wahindi na waarabu. Anakopa mkopo mkubwa sana pengine unakuwa na thamani kuliko hata dhamana yenyewe, hapo anakuwa ameshirikiana huo ufisadi na wakuu wa benki husika. Halafu anakuwa amepanga kabisa kutolipa na kuelekeza mkopo kwenye biashara zingine na anakuwa kama ameridhia dhamana yake iuzwe ila kwa nje ya moyo wake hamuwezi jua.
Rejea kisa cha mabasi ya scandanavia. Yule mwarabu alikopa hela nyingi kwa ajili ya biashara ya mabasi lakini hela akazieleza kwenye biashara kwenye vinu vya kusaga unga. Bado tajiri balaa
kisandu kasoma wapi? Hiki Chuo? Haya safiBora kisandu alishajimalizia vinginevyo nayeye angeuzwa