people citizens
Member
- Feb 16, 2019
- 75
- 53
Mimi naanza ni jiji nzuri kama una pesa
Wewe vp
Wewe vp
Oooh nimependa number 1 tu Asante sana ss tulio njee ya jiji wapo sehemu gan ao wazuri1.ina mademu wakali sana,sjawai ona
2.chips mayai ya Dar huwez fananisha na yeyote ile Tz nzima...(ina mbwembwe kama ukwaju,mayonize,tomato,kachumbar,urojo, shatashata
3.ukikaa dar unang'aa,ukikaa mkoa unakua umepauka sana
4.michongo yote iko hapa
5.kuna samak,pweza,mishkak ya 100 ,miogo yan hatar faya
6.weekend ni habar nyingne
7.hakuna mi barid barid ya ajab
Speakin like a real mwanaume wa daslam.
Mwanaume na chips mayai!?...itakuwa una shepu kama demi!...umetembelea jiji gani zaidi ya dar nje ya nchi!?jiji chafu kama choo!1.ina mademu wakali sana,sjawai ona
2.chips mayai ya Dar huwez fananisha na yeyote ile Tz nzima...(ina mbwembwe kama ukwaju,mayonize,tomato,kachumbar,urojo, shatashata
3.ukikaa dar unang'aa,ukikaa mkoa unakua umepauka sana
4.michongo yote iko hapa
5.kuna samak,pweza,mishkak ya 100 ,miogo yan hatar faya
6.weekend ni habar nyingne
7.hakuna mi barid barid ya ajab
Speakin like a real mwanaume wa daslam.
Mimi naanza ni jiji nzuri kama una pesa
Wewe vp
Uchafu , joto kali kama tanuru , makazi duni , shida ya usafiri na msongamano mkubwa wa watuMimi naanza ni jiji nzuri kama una pesa
Wewe vp