mambio
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 2,819
- 3,605
Ok tunakuamini wewe usiyechakachua takwimu. Nani kathibitishwa kuugua au kufa na ebola? Tuambie mwana takwimu za uhakika.Seriously unamuamini Waziri Ummy Mwalimu?
Yaani kukanusha kwa Ummy maana yake ameufukuza ugonjwa? Kumbuka hii ni Serikali inayochakachua takwimu ya chochote kile.
