Ebola imeingia Tanzania?

Ebola imeingia Tanzania?

Seriously unamuamini Waziri Ummy Mwalimu?

Yaani kukanusha kwa Ummy maana yake ameufukuza ugonjwa? Kumbuka hii ni Serikali inayochakachua takwimu ya chochote kile.
Ok tunakuamini wewe usiyechakachua takwimu. Nani kathibitishwa kuugua au kufa na ebola? Tuambie mwana takwimu za uhakika.
 
Acha UPUMBAVU kama huna la maana la kuandika kaa kimya. Ni nani alikudanganya mie ni mshika mafaili!? 😳😳😳

Upuuzi wako mwisho lumumba si humu.

Umesema kuwa WANAWEZA KUWA WANAFICHA HUU UGONJWA. kauli yako tu inawalakini ndani yake. Sasa acha wataalam wa afya watoe taarifa km upo au laa. sio wewe mshika mafaili ya mbowe utake kutuaminisha upuuzi wako. Sasa ufichwe kwa faida gani? Mnataka kuleta taharuki ambazo sizo.
 
..., lakini Victoire Serikali yetu tunaijua kwa kusema uongo si mara moja au mbili bali mara chungu nzima ndiyo sababu wengi hawaamini Serikali hii.
Uongo kwenye siasa hautoi maana kwamba Ni waongo hadi kwenye afya zetu. Ni sawa na kuwatangazia wananchi kipindupindu hakipo sehemu ambapo kipo. Itakuwa kwa maslahi ya Nani?
 
WHO, US offer to assist as mystery disease fears rise
In a statement, the country office of WHO said it is working with national health authorities on the issue and expects to make public the outcome of its investigations.
“We have reached out to Ministry of Health officials for further details and have offered our support. In line with our responsibility under international health regulations, WHO regularly receives and investigates numerous rumours of public health events,” the agency noted.

 
Dengue hawakukaa kimya wakati watu wanakufa!?

Uongo kwenye siasa hautoi maana kwamba Ni waongo hadi kwenye afya zetu. Ni sawa na kuwatangazia wananchi kipindupindu hakipo sehemu ambapo kipo. Itakuwa kwa maslahi ya Nani?
 

Uongo kwenye siasa hautoi maana kwamba Ni waongo hadi kwenye afya zetu. Ni sawa na kuwatangazia wananchi kipindupindu hakipo sehemu ambapo kipo. Itakuwa kwa maslahi ya Nani?
 
Acha UPUMBAVU kama huna la maana la kuandika kaa kimya. Ni nani alikudanganya mie ni mshika mafaili!? 😳😳😳

Upuuzi wako mwisho lumumba si humu.
Wewe ndio hukuwa na la maana la kuandika hadi ukaleta taarifa ambazo sio za kada yako humu. Ulitakiwa kukaa kimya. Au uliwashwa tu kuandika sababu yale ambayo unapenda kuandika hayabambi? Ok Lisu ni mgombea ACT 2020. Nazani haya ndio yanakufaa
 
Dengue hawakukaa kimya wakati watu wanakufa!?
Dengue mkuu usiifananishe na Ebola. Ebola haifichiki! Magonjwa Aina au yanayofanana na dengue Ni mengi Sana. So huwezi kukurupuka.
 
Wapi nilipofananisha na Ebola? Nakupa mfano wa UZEMBE wa hii Serikali kuhusu kuwa mstari wa mbele kupambana na magonjwa unasema nafananisha!? 😳😳😳😳😳

Dengue mkuu usiifananishe na Ebola. Ebola haifichiki! Magonjwa Aina au yanayofanana na dengue Ni mengi Sana. So huwezi kukurupuka.
 
So tumuamini kigogo?Mbona hii nchi imekua ya kipumbavu hivi?
Mpumbavu ni wewe mwenyewe ambaye hujui kuwa ni mpumbavu. Bashite bwana hajui kuwa yeye ni zero brain
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Upo nani kaumwa na kwa ushahid gani?
Mambo mengine yaacheni yapite siyo saizi zenu. Wewe unalipwa na Bashite Buku 7 kuja kujibu jibu utumbo kwenye mambo serious. Hizi ni mada za wataalamu, acha kichwa chako kiendelee kubeba nywele.tu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ok tunakuamini wewe usiyechakachua takwimu. Nani kathibitishwa kuugua au kufa na ebola? Tuambie mwana takwimu za uhakika.
Inawezekana umekurupuka bila kusoma, anza mwanzo kasome ndiyo uje uchangie. Mwili unaobeba kichwa kisicho na akili unaumia sana.
 
Huu ugonjwa haufichiki. Ebola isikieni tu. Ikifika Tanzania hata kuandika hamtaandika maana mtakosa nguvu za kuandika. Kwanza ungekuwepo watu wangetengwa hilo eneo alopatikana mgonjwa.Huu ugonjwa usikieni tu.
Kwa wasiojua incubation period ya Ebola ni mpaka siku 21, watu wanapishana nadhani kutokana na kinga ya mwili. Nadhani kama hizi taarifa ni kweli, basi kama muda huo umekaribia ama kufikiwa, vituo vyote vya afya, maeneo yote waliotembelea, familia zote walizoishi nazo n.k. lazima kungekuwa na watu waliofanya contact nao.

Hivyo basi tayari kungekuwa na cases za watu kuwa na homa kali, kutapita, kutokwa damu kwenye matundu yote n.k. Hili haliwezi kujificha hata kidogo, wahudumu waliowahudumia lazima wangekuwa waathirika wa kwanza. Sasa hivi hapa tungekuwa tunaongelea kuhusu wauguzi na madaktari walioonyesha dalili hizo ama kufa, tungekuwa tunapeana tahadhari tusiende hospitali na vituo vya afya fulani n.k.

Tusidanganyane na kutiana hofu, ebola ni ugonjwa unaoambukiza kwa kumgusa mwathirika. Njia za kujikinga ni rahisi ila ni vigumu kutekeleza, usigusane na mwathirika, mfano kumsalimia kwa kushikana mikono. Pia ukifika mahali penye watu unawe mikono kwa sabuni, ndio maana ukienda eneo lenye ebola maduka, maofisini, vituo vya mabasi, sokoni n.k. kuna ndoo za maji na sabuni utadhani migahawa ya kitanzania.

Mwenyezi Mungu apishie mbali
 
Acheni uzushi, yaani mnahujumu uchumi wa nchi ni kama mnapakwenda siku mambo yakiharibika kwenye nchi.
 
Kwa taarifa yenu nilivyo hakuna Ebola,Ebola inaambukizwa kwa kula nyamapori wanyama wetu hawangamani wa Congo ila Kenya tuna share wanyama.kama Ebola ingeanzia maharibi mpakani na Congo na Rwanda, wasiwasi wangu ni ile mbuya mpya ya chato digidigi anaweza toka Rwanda akaleta maambukizi.waziri paige maarufuku ulaji wa nyamapori hasa kibiasha kuna vimigahawa vinauza wanyama ya swala
 
Hili Gonjwa likipiga mhanga wa kwanza ni uchumi kushuka

Safari za Madaladala zitakuwa limited, watu hawatakwenda makazini, Karantini zitakuwa kila kona
Sehemu zenye msongamano wa watu kama soko la Kariakoo yatafungwa
Yaani itakuwa mshikemshike
Wanaosoma shule na vyuo sijui itakaaje hapo
 
[QUOTE="YEHODAYA, post: 32829278, member: 3
Hiyo no.kazi ya wizara Sio yako kujua upo Al la nk usijipe makukumu yasiyokuhusu
[/QUOTE]
Acha utumbo wee pandikizi LA Mataga, so huwezi jipa tahadhari mapema mpaka usubiri serikali ikuambie????!!!

Acha siasa kwenye mambo ya afya ya mwanadamu...!!!
 
Back
Top Bottom