Ebola imeingia Tanzania?

Ebola imeingia Tanzania?

Moderators taarifa zingine vizuri tuzipate kupitia wizara ya afya.Sio vizuri kugeuza maswala mazito.kama haya kuyatumia kisiasa au kuyafanya public before taarifa official.Moderators ondoeni huu uzi
Waondoe wampelekee mama ako?? n taarfa ngp nyet watu huanza kuzipata humu? tuliza mpwito
 
Moderators taarifa zingine vizuri tuzipate kupitia wizara ya afya.Sio vizuri kugeuza maswala mazito.kama haya kuyatumia kisiasa au kuyafanya public before taarifa official.Moderators ondoeni huu uzi
You are the one who has introduced a political motive into it.
 
Moderators taarifa zingine vizuri tuzipate kupitia wizara ya afya.Sio vizuri kugeuza maswala mazito.kama haya kuyatumia kisiasa au kuyafanya public before taarifa official.Moderators ondoeni huu uzi
Nafuu utoe alert kwa ugonjwa ambao haupo kwa sababu hakuna hasara ya maisha. Pengine utapata hasara ya watalii ambao wataogopa kuja.

On the contrary ugonjwa ukiwapo lakini wewe ukashindwa kutoa alert, ujue watu watakufa na maisha yao hayawezi kuwa recovered.

Ila Waziri wa Afya pamoja na kukataa kuwa hakuna ugonjwa wa Ebola ametoa tahadhari ya namna ya kujikinga. Sasa na nyinyi tumieni akili zenu, kama hakuna ugonjwa anatoa tahadharj ya nini?
 
Kama upo kweli kwanini Serikali inaficha!? Kuuweka ukweli hadharani watu wataanza kuchukua tahadhari mbali mbali husika na Serikali pia ili kuweza kuchukua hatua za kujizatiti ili kuukabili ugonjwa huu hatari sana na pia serikali kuanza kukusanya dawa husika.
Huu ugonjwa haufichiki. Ebola isikieni tu. Ikifika Tanzania hata kuandika hamtaandika maana mtakosa nguvu za kuandika. Kwanza ungekuwepo watu wangetengwa hilo eneo alopatikana mgonjwa.Huu ugonjwa usikieni tu.
 
..., lakini Victoire Serikali yetu tunaijua kwa kusema uongo si mara moja au mbili bali mara chungu nzima ndiyo sababu wengi hawaamini Serikali hii.

Huu ugonjwa haufichiki. Ebola isikieni tu. Ikifika Tanzania hata kuandika hamtaandika maana mtakosa nguvu za kuandika. Kwanza ungekuwepo watu wangetengwa hilo eneo alopatikana mgonjwa.Huu ugonjwa usikieni tu.
 
Leo Mh Waziri wa Afya katoa taarifa ya serikali kwamba hakuna huo ugonjwa hapa nchini lakini naona makala ya hao jamaa inaonyesha kana kwamba serikali haijasema chochote. Waambie kwamba Serikali kupitia kwa Mh Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya, amekanusa kuwepo kwa ugonjwa huo; sasa wanataka nini?
Wanachotaka wao ni kusikia Ebola ipo. Nachoona atakachoongea kigogo ni mwiko kuprove wrong. Kigogo amekua kimambe saizi. Hata serikali ikija na sample za vipimo bado watabisha.
 
serikali italiangamiza taifa kwa ujinga na usiri usio na maana, mficha maradhi mauti humuumbua, bila WHO kuwa na full access tumekwisha!
Unataka serikali iseme kuna Ebola hata kama hamna?
 
Seriously unamuamini Waziri Ummy Mwalimu?

Yaani kukanusha kwa Ummy maana yake ameufukuza ugonjwa? Kumbuka hii ni Serikali inayochakachua takwimu ya chochote kile.
So tumuamini kigogo?Mbona hii nchi imekua ya kipumbavu hivi?
 
Nafuu utoe alert kwa ugonjwa ambao haupo kwa sababu hakuna hasara ya maisha. Pengine utapata hasara ya watalii ambao wataogopa kuja.

On the contrary ugonjwa ukiwapo lakini wewe ukashindwa kutoa alert, ujue watu watakufa na maisha yao hayawezi kuwa recovered.

Ila Waziri wa Afya pamoja na kukataa kuwa hakuna ugonjwa wa Ebola ametoa tahadhari ya namna ya kujikinga. Sasa na nyinyi tumieni akili zenu, kama hakuna ugonjwa anatoa tahadharj ya nini?
Upo nani kaumwa na kwa ushahid gani?
 
-Watu wangapi wanakufa hospital kila siku?

-Unafikiri mtu kutapika na kuharisha damu inaashilia moja kwa moja ni mgonjwa wa ebola?

- Wat infomation do u have zinazothibitisha kwamba walokufa wamekufa kwa ebola kama unavyosema?

- Unajua madhara yatakayo tokea ikitangazwa nchini kuna ebola? Na kwanini utangaze kuna ebola bila kuwa uthibitisho wowote?

- Acheni mamlaka husika zifanye kazi yake. Maneno ya kufanya raia wapanic hayatowasaidia chochote.

- Kupanic ni hatari kuliko ebola yenyewe, comments humu zinaonyesha baadhi washaanza kupanic.
 
Wanachotaka wao ni kusikia Ebola ipo. Nachoona atakachoongea kigogo ni mwiko kuprove wrong. Kigogo amekua kimambe saizi. Hata serikali ikija na sample za vipimo bado watabisha.
Kigogo akisema basi imekuwa kama taurati!! Jana Kigogo kawalaza watu macho wakisubiri Msigwa atoke na Prof!!
 
.
Screenshot_2019-09-14-23-39-05-1.jpeg
Screenshot_2019-09-14-23-38-53-1.jpeg
Screenshot_2019-09-14-23-39-14-1.jpeg
Screenshot_2019-09-14-23-40-20-1.jpeg
Screenshot_2019-09-14-23-40-24-1.jpeg
 
Moderators taarifa zingine vizuri tuzipate kupitia wizara ya afya.Sio vizuri kugeuza maswala mazito.kama haya kuyatumia kisiasa au kuyafanya public before taarifa official.Moderators ondoeni huu uzi

Information is power!

Kuuondoa Uzi huu kuna mdhara ya hatari zaidi kuliko faida.

Unataka Uzi huu uondolewe kwa maslahi gani?? Ya nani??
 
Waziri kusema hakuna EBOLA siyo ushahidi kuwa hakuna EBOLA
Tunataka Waziri aje na Paneli ya Madkatari waongee kitalamu, Watuonyeshe na ripoti za vipimo vya maabara, wathibitishe kuwa kweli EBOLA haipo ili baadae kama ipo tuweze kuwashitaki kwa kuvunja viapo vyao!

Kwa hali ya sasa simuamini Waziri maana kama ni matamko mawaziri tumeshaona mawaziri wa wizara mbalimbali wakitoa matamko amabayo wakati mwingine yanakuwa ya kisiasa.

Maelezo ya Waziri hayatoshi!

Serikali isilete Siasa kabisa katika hili suala hatutaielewa kabisa!

View attachment 1207655


View attachment 1207657

View attachment 1207675

View attachment 1207692

Kama kweli tatizo la Ebola lipo, Serikali inaogopa nini kusema ukweli ili wananchi wachukue hatua za tahadhari??
Kwani Wanafikiri wananchi watasema kwamba Serikali imeleta ugonjwa huu hatari hapa nchini? Mbona Serikali imekuwa ya ajabu hivi jamani??
KWA nini MTU ufiche ugonjwa?? KWA maslahi gani??
 
Shukurani sana Mkuu. Hawa wahuni wanaweza kuwa wanaficha huu ugonjwa hadi ushamiri mikoa mbali mbali nchini ndiyo watausema ukweli wakati wengi watakuwa wameshaathirika.
Umesema kuwa WANAWEZA KUWA WANAFICHA HUU UGONJWA. kauli yako tu inawalakini ndani yake. Sasa acha wataalam wa afya watoe taarifa km upo au laa. sio wewe mshika mafaili ya mbowe utake kutuaminisha upuuzi wako. Sasa ufichwe kwa faida gani? Mnataka kuleta taharuki ambazo sizo.
 

Huu ugonjwa haufichiki. Ebola isikieni tu. Ikifika Tanzania hata kuandika hamtaandika maana mtakosa nguvu za kuandika. Kwanza ungekuwepo watu wangetengwa hilo eneo alopatikana mgonjwa.Huu ugonjwa usikieni tu.
 
Back
Top Bottom