Ebola imeingia Tanzania?

Ebola imeingia Tanzania?

Waziri kusema hakuna EBOLA siyo ushahidi kuwa hakuna EBOLA
Tunataka Waziri aje na Paneli ya Madkatari waongee kitalamu, Watuonyeshe na ripoti za vipimo vya maabara, wathibitishe kuwa kweli EBOLA haipo ili baadae kama ipo tuweze kuwashitaki kwa kuvunja viapo vyao!

Kwa hali ya sasa simuamini Waziri maana kama ni matamko mawaziri tumeshaona mawaziri wa wizara mbalimbali wakitoa matamko amabayo wakati mwingine yanakuwa ya kisiasa.

Maelezo ya Waziri hayatoshi!

Serikali isilete Siasa kabisa katika hili suala hatutaielewa kabisa!

View attachment 1207655


View attachment 1207657

View attachment 1207675

View attachment 1207692
Ebola's



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee
Makamongo ndivyo walivyo Mkuu. WHO wametuma taarifa Serikalini kuulizia kama habari hii ni kweli au uongo. Kitaratibu Serikali ilitakiwa iwajibu WHO within 24 hours and it is now more than 24 na hii Serikali inajulikana kwa kuficha ukweli mbali mbali nchini ikiwemo magonjwa. Kumbuka lile sakata la binti Malecela.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah BAK kapotea, kama ana ID nyingine bora aseme tu. He doesn't realize how we feel for him!
 
Back
Top Bottom