Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,947
- 6,085
Kupitia ukurasa wao wa X zamani Twitter, East Africa TV wametuarifu kuwa wakandaji wa Yanga (Mamelodi Sundowns) watawasili nchini Machi 28 kwaajili ya mchezo wao wa kwanza wa robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika.
Mhariri wa EATV ameshawapa nafasi na kuwasapoti Mamelodi kwanini mimi nizuiwe kuvaa jezi zao?
Tutaelewana tu jamani🤣🤣
Mhariri wa EATV ameshawapa nafasi na kuwasapoti Mamelodi kwanini mimi nizuiwe kuvaa jezi zao?
Tutaelewana tu jamani🤣🤣