U
Unregistered
Guest
Tanzania bado haijafikia kiwango cha kufaidika na muungano huo wa nchi za Afrika Mashariki kwa kuwa kuna wasomi wachache ukilinganisha na Kenya na Uganda. Pia, maendeleo ya viwanda ni madogo na hivyo kuna uwezekano wa kuwa soko la Kenya wakati wao Tanzania wakiwa na nafasi ndogo sana ya kuuza bidhaa Kenya.
Pia migogoro ya nchi za Kenya na Uganda itaweza kuhamia Tanzania, endapo kutakuwa na muingiliano.
Nashauri tusubiri kwanza
Nkwangu
Pia migogoro ya nchi za Kenya na Uganda itaweza kuhamia Tanzania, endapo kutakuwa na muingiliano.
Nashauri tusubiri kwanza
Nkwangu