Haruna Malima
Member
- Jun 26, 2009
- 56
- 7
We do appreciate for the technological advancement and its arrival in our region, but the only problem with us is timely and prompt maintenance of what we have.
The BBC's Ben Mwangunda in Dar es Salaam says five institutions are already benefiting from the faster speeds - national electricity company Tanesco, communications company, TTCL, Tanzania Railways and the Universities of Dar es Salaam and Dodoma.
BBC NEWS | Africa | East Africa gets high-speed web
Tanesco ina benefit namna gani na hii? Wao si users to kama sisi!!
Mtoto,
wanaposema wana-benefit wanamaanisha simply kua they are
using the new fibre optic connection. Ni kama tu vile weye unapotumia
mtandao na kuona maswala yanakwenda faster basi you also are
benefiting in that context.
Shukran.
Kitu imesha ingia bongo tayari tunasubili kuanza kwa implementation yake kwa watanzania...
Kwa TZ, unaweza usikute gharama zisishuke kabisa. Na wataanza toa sababu kwa nini gharama hazishuki. Hakuna wasimamizi TZ, wakiwepo wanapewa hongo (10%) nao kwisha.
Meanwhile mlioko Bongo, hii kitu mnaionaje maana kuna washkaji kule
Kenya wanalalamika kua mtandao umekua more slow than earlier times.
Je ukweli uko wapi?
Bei lazima zitashuka msiwe na hofu! Hakuna monopoly kwenye makampuni ya simu/internet kuna ushindani mkali sana.
Zaidi ya hapo kushuka kwa bei kutawaongezea wateja so watatengeneza faida nyingi zaidi, sioni situation ambayo itasababisha bei kutoshuka.
Mkuu ahsante kwa uchambuzi wako mzuri.Ukweli ni kwamba sidhani kama ISP wetu wako tayari kushusha gharama au kutuongezea Bandwidth,kama kupunguza bei wanaweza kupunguza kwa 10% ambayo kwa mtizamo wangu naona ni ndogo na bado bei zitakuwa ziko juu.
Zaidi ya hapo kushuka kwa bei kutawaongezea wateja so watatengeneza faida nyingi zaidi, sioni situation ambayo itasababisha bei kutoshuka.