East Africa capital cities: Dodoma vs Nairobi

GDtsuL0WoAA6iB9


GDtsuLxXAAA24bk


View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1746108831522869664
 
..badala ya kujenga maofisi na majumba ya vigogo wa serikali huko Dodoma fedha hizo zingeweza kujenga barabara nyingi maeneo ya vijijini na kuinua maisha ya wananchi.
 
Yaani kila kitu unajiona ingekuwa wewe ungekifanya bora zaidi😎

..rekodi mbaya ya utawala wa Ccm toka tupate uhuru ndio zinawafanya wengi waamini kwamba wangefanya mambo kwa ubora zaidi.

..Tanzania tumeongozwa vibaya na Ccm na ndio maana majirani zetu wanatucheka, kutubeza, na kutuita " sleeping giant. "
 
..rekodi mbaya ya utawala wa Ccm toka tupate uhuru ndio zinawafanya wengi waamini kwamba wangefanya mambo kwa ubora zaidi.

..Tanzania tumeongozwa vibaya na Ccm na ndio maana majirani zetu wanatucheka, kutubeza, na kutuita " sleeping giant. "
Siongelei CCM hapa; nakuongelea wewe na vijitabia vyako vya kujiona mjuaji😎
 
Back
Top Bottom