Early Lunch

GeoMex

JF-Expert Member
Jan 10, 2014
5,431
19,776
Baada ya kutoka Kanisani msosi wa asili
Screenshot_20210101-222014.jpg
 
Ili kukuteka kisaikolojia watakuambia hiyo mboga ya madudu ya washawasha au katapila ati inaongeza nguvu za kiume!.. ifike mahali tuambiwe tu shetani ni sisi sisi binadamu..😅
 
Du! Kabisa???
Tanzania hatujafikia njaa ya kula wadudu kama nchi za West Africa na Jamhuri ya Kidemokrasi ya watu wa Congo... Hiyo hapana aiseee!
Sio kwasababu ya njaa mkuu ni delicacy tu kama ilivyo kumbikumbi,senene no

Na ni tamu balaa kwa tuliozoea. Huku kijijini nikija siwez kuondoka bila kula findo
 
Ili kukuteka kisaikolojia watakuambia hiyo mboga ya madudu ya washawasha au katapila ati inaongeza nguvu za kiume!.. ifike mahali tuambiwe tu shetani ni sisi sisi binadamu..😅
Hahahah hii wala haiongezi Power Tila mkuu. Ni msos wa kawaida tu huku kwetu

Ndo raha ya kurudi nyumbani mwisho wake mwaka
 
Najipendekeza kumjibia mtoa mada.

Hizo zinaitwa pane....Mopane worm...zinaliwa saana Kusini mwa Afrika...

Wanaweza kuweka nyama pembeni wakazila hizi.
Na Pia Kusini mwa Tanzania/ Nyanda za juu kusini na Kanda ya kati

Ni delicious balaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom